Mashabiki wamuuwa mcheza mpira Algeria
Mchezaji mpira kutoka Cameroon katika timu ya Algeria afariki baada ya mashambiki kumrushia mawe
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 May
HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini
>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaahâ€.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwMiSkun2ECeWdul9WNrKBzThrX9xck7OA7xfhw0FN7Bv0*ZMClWdtA6MVZRfNoLHsB0uaFoP16GutcwPA-0qPV*/AlbertEbosse.jpg?width=650)
MASHABIKI WAMUUA MCHEZAJI ALGERIA
MCHEZAJI kutoka Cameroon amekufa baada ya kupigwa kichwani wakati mashabiki waliokereka waliporusha mawe mwisho wa mechi ya Ligi ya Algeria. Albert Ebosse enzi za uhai wake. Albert Ebosse, aliyekuwa na umri wa miaka 24, ndiye aliyefunga mabao mengi katika Ligi ya Algeria msimu uliopita.
Alirushiwa kitu wakati mashabiki walipokerwa kuwa timu yake, JS Kabylie, iliposhindwa kwa mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa nyumbani, Tizi...
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Mashabiki wa Algeria wazua vurugu
Mashabiki wa Algeria wazua vurugu Ufaransa na kupora baada ya ushabiki kutibuka
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Mashabiki wawili wafa Algeria
Watu wawili wamekufa wengine kujeruhiwa wakati wakishangilia ushindi wa kihistoria wa Algeria dhidi ya Russia Alhamisi iliyopita.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pgDB_b1khkE/XtPjFLK9vjI/AAAAAAALsKQ/3OBIJwRaXEgi3MhLXblvAyD2WAhdQ5AmwCLcBGAsYHQ/s72-c/UMAG4VXMGRG2ZENFYMK4TAJC6Q.jpg)
MIAKA 102 ILIYOPITA, MASHABIKI WAKIANGALIA MPIRA WAKATI WA JANGA LA SPANISH FLU
![](https://1.bp.blogspot.com/-pgDB_b1khkE/XtPjFLK9vjI/AAAAAAALsKQ/3OBIJwRaXEgi3MhLXblvAyD2WAhdQ5AmwCLcBGAsYHQ/s640/UMAG4VXMGRG2ZENFYMK4TAJC6Q.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NI miaka 102 sasa tangu Thomas Carter mwanafunzi wa Georgia aliyekuwa akichukua shahada ya uhandisi kuchukua picha iliyowaonesha mashabiki wakiwa wanatazama mpira katika kipindi cha mlipuko wa homa kali ya mafua (Spanish Flu) mwaka 1918.
Picha hiyo ambayo inasambaa kwa kasi wakati huu ambao shughuli mbalimbali zikirejea duniani ikiwemo michezo na hiyo ni mara baada upepo mkali wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) kupiga...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6zqzOy-mH5uSiR-AK1NI-NScyW1uG36DlAehuM2CmW0W9w8Z2*Qf2BYY97qqbT7ubDb3E6Sf*MeIRB8hzS65gIh/baby.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SHILOLE NI MCHEZA VIGODORO
MSANII wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Madaha’ amemchana staa mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kumwambia ni mcheza muziki wa uswahilini (vigodoro). Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Kauli hiyo ya msanii huyo anayetamba na Wimbo wa Summer Holyday, ameitoa siku chache baada Shilole kutema cheche zake kuwa Madaha aache kumfuatilia kwani amekuwa akiingia kwenye anga zake mara kwa...
11 years ago
GPL![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74389000/jpg/_74389301_6c01ac29-c610-4600-be86-96b1354ddabb.jpg?width=624)
MCHEZA DENSI ASABABISHA VURUGU BRAZIL
Moto ukiwaka katika Barabara baada ya kuzuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira katika viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Barabara zimefungwa mjini humo wakati risasi zikisikika kutoka eneo hilo na polisi waking'ang'ana kuwadhibiti wakaazi hao. Polisi wakipambana na wakaazi...
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Mcheza Filamu wa Hollywood,apata ajali
Mcheza Filamu wa Hollywood, Harrison Ford anapatiwa matibabu hospitali ya Los Angels
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania