Mcheza Filamu wa Hollywood,apata ajali
Mcheza Filamu wa Hollywood, Harrison Ford anapatiwa matibabu hospitali ya Los Angels
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Oct
Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood
Mdogo wa kiume wa mwigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o aitwaye Peter Nyong’o ameanza kufata nyayo za dada yake kwa kupata shavu la kuigiza kwenye filamu mpya huko Hollywood. Peter amepata nafasi ya kucheza kwenye filamu ya ‘Nocturnal Animals’ ya Tom Ford ambayo itatoka mwakani 2016. Hii itakuwa ndio mara yake ya kwanza kugiza kwenye filamu […]
11 years ago
Tanzania Daima24 May
DC wa Karagwe apata ajali
MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...
9 years ago
Vijimambo22 Oct
NAPE APATA AJALI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/NAPE-AJALI-11.jpg?width=650)
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p59gSkh23ytrEvz3KHAWIoXn6oENyMOMwrIpPuSMZmrpvo06LLW*F0vu7hRKR81Ep9HuIshuKCQ-BdTXdkRPFY/gabo.jpg)
GABO APATA AJALI
Stori: Deogratius Mongela
MWIGIZAJI wa Bongo Movies, Salim Ahmed ‘Gabo’ amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Kiwalani jijini Dar.Kwa mujibu wa chanzo makini, Gabo aliyekuwa katika gari binafsi, aligongana na gari lingine na kupata jeraha mguuni hivyo kulazimika kulazwa kwa takriban wiki tatu kisha kuruhisiwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Mwigizaji wa Bongo Movies, Salim Ahmed ‘Gabo’ Akizungumza na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBE*WNWRBA2Ja1pWCZ-aJxSP1l93RbBoQDm6NADaEjFiENd80vSAN-QbSpu8Zcx43wxsPqSpVZEzjuq3t69t-iY/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA APATA AJALI
MWANADADA Bongo Movies, Shamsa Ford amenusurika kifo baada ya gari lake kugongana na lingine. Mwanadada Shamsa Ford. Akichonga na paparazi wetu, Shamsa alisema tukio hilo lilitokea juzikati maeneo ya Sayansi akiwa na gari aina ya Noah aliligonga gari aina ya Vitz na magari yote yakaharibika vibaya lakini bahati nzuri hawakuumia. “Kweli ni Mungu tu maana ajali ilikuwa mbaya, nashukuru sijaumia ila gari langu ndilo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0lwRQG-ET4chEeBGWFBhMi471doVc8Pfzul9jnR0mbLAeox1x-*th6qnJ9Et4*PKBiqVcvuVP7fi6asisBuN67Y/1380173_631007213622695_1575456823_n.jpg?width=650)
MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK
Mr. Nice (kulia). Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Opra Winfrey apata haki kuonyesha filamu ya Mandela
Mwanamama mwenye ushawishi Duniani Opra Winfrey, kupitia Kituo chake cha runinga cha ‘OWN’, amepata haki ya kuonyesha filamu ya marehemu Mandela iitwayo ‘Long Walk to Freedom’.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1huPN07vqRclcIpeV23ksyTBxYf2MF9VV4XVcBg3bgcSFQaCQJJXvNLfjk7DCKjdFrw3jwL8D33sENaSzyHw-l/BREAKINGNEWS.gif)
ALEX MSAMA APATA AJALI
Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma. Kwa sasa Msama anapatiwa matibabu katika hospitali moja mjini…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnTZu92vkIVUUurbN39syITZhjnVudK*kh5AM2AIeaULgPvRcU5QRMdg4IJEB4NW7kzolWhMtAoLQXw3MxJNHaGo/1MYAMBACAR.jpg?width=650)
PASTOR MYAMBA APATA AJALI
Taswira baada ya ajali hiyo. STAA wa filamu za Kibongo, anayepatia zaidi kuigiza kama Mchungaji, Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepata ajali baada ya gari lake aina ya Toyota Creasta kugongwa na gari lingine leo mchana katikati ya Boko na Bunju jijini Dar es Salaam. Katika ajali hiyo, hakuna mtu aliyejeruhiwa zaidi ya magari hayo mawili kuharibika. Kwa mujibu wa Pastor Myamba, dereva aliyekuwa akiendesha gari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania