Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC wa Karagwe apata ajali

MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GABO APATA AJALI

Stori: Deogratius Mongela
MWIGIZAJI wa Bongo Movies, Salim Ahmed ‘Gabo’ amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Kiwalani jijini Dar.Kwa mujibu wa chanzo makini, Gabo aliyekuwa katika gari binafsi, aligongana na gari lingine na kupata jeraha mguuni hivyo kulazimika kulazwa kwa takriban wiki tatu kisha kuruhisiwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Mwigizaji wa Bongo Movies, Salim Ahmed ‘Gabo’ Akizungumza na...

 

9 years ago

Vijimambo

NAPE APATA AJALI

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam.

Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.

Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA APATA AJALI

MWANADADA Bongo Movies, Shamsa Ford amenusurika kifo baada ya gari lake kugongana na lingine. Mwanadada Shamsa Ford. Akichonga na paparazi wetu, Shamsa alisema tukio hilo lilitokea juzikati maeneo ya Sayansi akiwa na gari aina ya Noah aliligonga gari aina ya Vitz na magari yote yakaharibika vibaya lakini bahati nzuri hawakuumia. “Kweli ni Mungu tu maana ajali ilikuwa mbaya, nashukuru sijaumia ila gari langu ndilo...

 

10 years ago

GPL

PASTOR MYAMBA APATA AJALI

Taswira baada ya ajali hiyo. STAA wa filamu za Kibongo, anayepatia zaidi kuigiza kama Mchungaji, Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepata ajali baada ya gari lake aina ya Toyota Creasta kugongwa na gari lingine leo mchana katikati ya Boko na Bunju jijini Dar es Salaam. Katika ajali hiyo, hakuna mtu aliyejeruhiwa zaidi ya magari hayo mawili kuharibika. Kwa mujibu wa Pastor Myamba, dereva aliyekuwa akiendesha gari...

 

5 years ago

CCM Blog

ASKARI POLISI APATA AJALI

 Askati wa Usalama barabarani (wa tatu kushoto) akizungumza na kupata maelezo kutoka kwa madereva wenye nyombo vya moto baada ya kugongana eneo la Kisutu katika makutano ya kituo cha Mabasi ya mwendokasi kilichopo eneo hilo Jijini Dar er Salaam leo Mei 11, 2020. (wa katikati) ni Dereva wa Pikipiki yenye namba za usajili MC 919 BJC, Ambaye ni Askari Polisi na wa kwanza kuli ni Dereva mwenye Gari lenye namba za Usajili T 810 DMK. japo hakuna aliyeumia  (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Askari...

 

11 years ago

GPL

ALEX MSAMA APATA AJALI

Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma. Kwa sasa Msama anapatiwa matibabu katika hospitali moja mjini…

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA WA GUTA APATA AJALI

Wananchi wakishuhudia Askari akipima Ajali eneo la Kagera Jijini Dar es Salaam jana Baada ya Mwendesha Guta kupata ajali jana Mei 9, 2020 iliyohusishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 735 DJY.  
 Wasamaria wema katika eneo la Gegera Jijini Dar es Salaam wakisaidia kutoa Miwa chini ya Gari lenye namba za usajili T 735 DJY Baada ya Dereva wa guta kugongwa eneo hilo nakukimbizwa Hospitali.
 Wasamaria wema wakisaidia kutoa Miwa chini ya Gari lenye namba za usajili T 735 DJY Baada ya mwendesha...

 

11 years ago

GPL

BAHATI BUKUKU APATA AJALI

Muimbaji wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku. Muimbaji wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku amepata ajali ya gari akiwa na dereva wake, Eddy maeneo ya Kongwa Dodoma usiku wa kuamkia leo. Akiongea kwa simu Bahati amesema: “Ni Mungu tu aliyetuokoa, tulikuwa tunaelekea Kahama kwenye huduma ghafla tukagongana uso kwa uso na lori, gari yetu aina ya Toyota Nadia  iliruka na kubiringika kama mara tatu hivi, tumetoka tukiwa...

 

11 years ago

GPL

DUDE APATA AJALI LOLIONDO

Stori: Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amepata ajali ya gari wakati akielekea Loliondo, Arusha kupata dawa ya kikombe inayotolewa na mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwaisapila. Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ Dude ameiambia Bongowood kuwa, hivi karibuni walikuwa na gari aina ya Toyota Prado wakimpeleka mama yake kupata tiba ya ganzi mwilini ndipo tairi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani