Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars
Mashabiki wa soka jana walizua tafrani kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam baada ya kujaribu kuwatimua wachezaji wa Taifa Stars waliofika uwanjani hapo kwa mazoezi ya kujiandaa kuwakabili Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan 2016).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
5 years ago
Bongo514 Feb
Picha: Mashabiki wa Bayern Munich wafanya fujo baada ya timu kupokea kichapo
Katika mchezo wa soka kuna matokeo makubwa matatu, ambayo ni pamoja na kushinda, kufungwa na kutoka suluhu – Lakini habari nzuri ambazo mashabiki wanapenda kuzisikia ni kupata ushindi kwa timu yao wanayoishabikia.
Usiku wa kumakia leo mashabiki wa Bayern Munich waliamua kuanzisha ugomvi wakati timu yao ilipokumbana na kichapo cha magoli 4-2 wakiwa ugenini, kutoka kwa Real Madrid huku wakishuhudia mchezaji wao Artulo Vidal, akipata kadi nyekundu dakika katika dakika ya 84.
Tazama picha za...
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Wachezaji, mashabiki wakitimiza wajibu, ushindi Yanga utapatikana
10 years ago
Mwananchi03 May
HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Stars yale yale, Zanzibar wafanya fujo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s72-c/TFF+Logo.jpg)
WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s1600/TFF+Logo.jpg)
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzSzdcIlXyyhVNKUEbu7ZR7q*Rt4ePP6vSE1hIzHTobVIoDeuntmW9SeMVQh6plSn3HKVC0-6FkRWTh1QTgvKzKn/s2.jpg?width=650)
SHIGONGO AWAMWAGIA DOLA WACHEZAJI STARS
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Mart Nooij alia na wachezaji Stars
WAKATI kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Satrs kikirejea nchini jana kutoka Msumbiji, Kocha Mkuu Mart Nooij, amesema moja ya sababu kuu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi...