Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars

Mashabiki wa soka jana walizua tafrani kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam baada ya kujaribu kuwatimua wachezaji wa Taifa Stars waliofika uwanjani hapo kwa mazoezi ya kujiandaa kuwakabili Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan 2016).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

5 years ago

Bongo5

Picha: Mashabiki wa Bayern Munich wafanya fujo baada ya timu kupokea kichapo

Katika mchezo wa soka kuna matokeo makubwa matatu, ambayo ni pamoja na kushinda, kufungwa na kutoka suluhu – Lakini habari nzuri ambazo mashabiki wanapenda kuzisikia ni kupata ushindi kwa timu yao wanayoishabikia.

Usiku wa kumakia leo mashabiki wa Bayern Munich waliamua kuanzisha ugomvi wakati timu yao ilipokumbana na kichapo cha magoli 4-2 wakiwa ugenini, kutoka kwa Real Madrid huku wakishuhudia mchezaji wao Artulo Vidal, akipata kadi nyekundu dakika katika dakika ya 84.

Tazama picha za...

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji, mashabiki wakitimiza wajibu, ushindi Yanga utapatikana

Timu ya Yanga, leo itaingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kucheza na Etoile du Sahel ya Tunisia katika mechi ya kwanza ya hatua ya 16 bora ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini

>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaah”.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yale yale, Zanzibar wafanya fujo

Nairobi.Ndoto ya Kilimanjaro Stars kumaliza katika nafasi ya tatu iliyayuka baada ya kufungwa kwa penalti 6-5 na Zambia, huku wachezaji wa Zanzibar wakifanya fujo kambini.

 

11 years ago

Michuzi

WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA

Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza majina ya wachezaji 16 waliochaguliwa katika maboresho ya timu ya Taifa Taifa Stars kwenye hoteli ya Hill View jijini Mbeya.
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...

 

11 years ago

Michuzi

Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani

 MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja.Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu.Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na shabiki kabla ya kuanza kurushiana makonde mazito. Hata hivyo wachezaji wa Maccabi walifanikiwa kutoka uwanjani bila kujeruhiwa. Tukio...

 

11 years ago

GPL

SHIGONGO AWAMWAGIA DOLA WACHEZAJI STARS

Shigongo (wa pili kutoka kulia) akizungumza na wachezaji Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. Erasto Nyoni wa pili kushoto ndiye aliyepokea Dola hizo kwa niamba ya wachezaji wenzake. Mmiliki wa kampuni ya Global Publishers Limited, wachapishaji wa magazeti ya Amani, Uwazi, Ijumaa, Championi, na Risasi. Eric James Shigongo aliwahutubia wachezaji wa timu ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta,…...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mart Nooij alia na wachezaji Stars

WAKATI kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Satrs kikirejea nchini jana kutoka Msumbiji, Kocha Mkuu Mart Nooij, amesema moja ya sababu kuu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani