Picha: Mashabiki wa Bayern Munich wafanya fujo baada ya timu kupokea kichapo
Katika mchezo wa soka kuna matokeo makubwa matatu, ambayo ni pamoja na kushinda, kufungwa na kutoka suluhu – Lakini habari nzuri ambazo mashabiki wanapenda kuzisikia ni kupata ushindi kwa timu yao wanayoishabikia.
Usiku wa kumakia leo mashabiki wa Bayern Munich waliamua kuanzisha ugomvi wakati timu yao ilipokumbana na kichapo cha magoli 4-2 wakiwa ugenini, kutoka kwa Real Madrid huku wakishuhudia mchezaji wao Artulo Vidal, akipata kadi nyekundu dakika katika dakika ya 84.
Tazama picha za...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
LADY JAY DEE AWASHUKURU MASHABIKI BAADA YA KUPOKEA TUZO YA AFRIMMA
10 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)
Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]
The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...
10 years ago
BBC
FC Augsburg 0-4 Bayern Munich
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Manchester 1-1 Bayern Munich
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Man U yaibania Bayern Munich
10 years ago
BBC
Bayern Munich 3-2 Barcelona (agg 3-5)
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Bayern Munich bingwa Ujerumani
10 years ago
BBC
Manchester City 3-2 Bayern Munich