Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Mashabiki wa Bayern Munich wafanya fujo baada ya timu kupokea kichapo

Katika mchezo wa soka kuna matokeo makubwa matatu, ambayo ni pamoja na kushinda, kufungwa na kutoka suluhu – Lakini habari nzuri ambazo mashabiki wanapenda kuzisikia ni kupata ushindi kwa timu yao wanayoishabikia.

Usiku wa kumakia leo mashabiki wa Bayern Munich waliamua kuanzisha ugomvi wakati timu yao ilipokumbana na kichapo cha magoli 4-2 wakiwa ugenini, kutoka kwa Real Madrid huku wakishuhudia mchezaji wao Artulo Vidal, akipata kadi nyekundu dakika katika dakika ya 84.

Tazama picha za...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LADY JAY DEE AWASHUKURU MASHABIKI BAADA YA KUPOKEA TUZO YA AFRIMMA

Tuzo ya mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki, Lady Jay Dee. Mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki, Lady Jay Dee. Lady Jay Dee ameipokea tuzo ya AFRIMMA ya mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki siku mbili baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo. Baada ya kuishika mkononi tuzo…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu

Katika ule utaratibu wa watu kupost picha za zamani kwenye mitandao ya kijamii na hashtag ya ‘Throw Back Thursday (TBT) kila siku za Alhamisi , Nonini alipost picha aliyopiga zamani na Wahu wakiwa kwenye pozi za kimahaba, kitendo kilichotafsiriwa tofauti na mashabiki waliodai amemkosea heshima Nameless. Wanamuziki Wahu Kagwi na David Mathenge a.k.a Nameless wa […]

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

10 years ago

BBC

FC Augsburg 0-4 Bayern Munich

Morocco's Mehdi Benatia scores as Bayern Munich beat Augsburg to go 10 points clear at the top of the Bundesliga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Manchester 1-1 Bayern Munich

Man Untd ilihimili gonga gonga ya Bayern Munich na kutoka sare ya1-1 katika robo fainali ya ligi ya mabingwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Man U yaibania Bayern Munich

>Manchester United na Barcelona zimeshindwa kutumia vizuri viwanja vyao vya nyumbani baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Bayern Munich na Atletico Madrid katika michezo ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa jana.

 

10 years ago

BBC

Bayern Munich 3-2 Barcelona (agg 3-5)

Morocco's Mehdi Benatia scores for Bayern but cannot prevent Barcelona from reaching the Champions League final.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich bingwa Ujerumani

Klabu ya soka Bayern Munich ya Ujerumani imenyakuwa ubingwa wa ligi kuu ya nchi hiyo kwa mara ya tatu mfululizo.

 

10 years ago

BBC

Manchester City 3-2 Bayern Munich

Morocco's Mehdi Benatia is sent off for Bayern Munich as Manchester City fight back to win 3-2 in the Champions League.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani