Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LADY JAY DEE AWASHUKURU MASHABIKI BAADA YA KUPOKEA TUZO YA AFRIMMA

Tuzo ya mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki, Lady Jay Dee. Mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki, Lady Jay Dee. Lady Jay Dee ameipokea tuzo ya AFRIMMA ya mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki siku mbili baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo. Baada ya kuishika mkononi tuzo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Lady Jaydee awashukuru mashabiki baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA, Marekani

Lady Jaydee na Diamond July 27 walitangazwa kuwa washindi katika tuzo za AFRIMMA 2014 nchini Marekani. Diamond alishinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika mashariki, huku Lady Jaydee alishinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kike Afrika mashariki. Tuzo hizo ziliwashindanisha wanamuziki mbalimbali wakubwa wa Afrika wakiwemo Davido, Mafikizolo, Tiwa Savage, Fally Ipupa, Flavour na […]

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

TheCitizen

Lady Jay Dee seeks divorce from husband

>Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash.

 

11 years ago

GPL

MVUA YATIBUA SHOO YA LADY JAY DEE

Lady jay Dee akiwa jukwaani. Mashabiki wakifuatilia shoo hiyo.…

 

10 years ago

Vijimambo

LADY JAY DEE AFUNGUKA KUHUSU KUWA NA MTOTO!

Jide akiwa na Mokonyo (mtoto wa mdogo wake Dabo)Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha ‘Diary Ya LadyJaydee’ kinachorushwa kupitia EATV. “SWALI: Una watoto wangapi?JIBU : Sina mtoto wala watoto 
SWALI:Utazaa lini?JIBU : Sijajua mpk sasa nitazaa lini, ila siku yoyote ile ikitokea naweza kuzaa 
SWALI: Kwanini huna mtoto /watoto?JIBU : Sina...

 

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

Sugu, Lady Jay Dee waliniumiza kichwa-Ruge

Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani