Wachezaji, mashabiki wakitimiza wajibu, ushindi Yanga utapatikana
Timu ya Yanga, leo itaingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kucheza na Etoile du Sahel ya Tunisia katika mechi ya kwanza ya hatua ya 16 bora ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars
Mashabiki wa soka jana walizua tafrani kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam baada ya kujaribu kuwatimua wachezaji wa Taifa Stars waliofika uwanjani hapo kwa mazoezi ya kujiandaa kuwakabili Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan 2016).
10 years ago
Mwananchi03 May
HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini
>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaahâ€.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
BRAZIL 2014: Mashabiki wafunga mitaa ushindi wa Costa Rica
>Kutoka ufukweni hadi katikati ya mji mkuu, mashabiki na raia wa Costa Rica walimiminika barabarani juzi kushangilia ushindi wa kihistoria wa timu yao iliyofanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kuitoa Ugiriki.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Eric Dier: Evra, Aguero, Cantona - wakati ambapo wachezaji walikerwa na kuamua kuwapiga mashabiki
Eric Dier sio mchezaji wa kwanza kuwa na hasira na mashabiki - Je unayakumbuka mateke ya Patrice Evra na Eric Cantona?
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wachezaji Yanga watahadharisha
SIKU moja baada ya uongozi wa Yanga kulifagia benchi zima la ufundi isipokuwa Meneja, Hafidhi Salehe, wachezaji wa timu hiyo wamekwazwa na kitendo hicho na kudai kinaweza kusababisha wafanye vibaya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75p8jdyZcIW07*D1psi6mmIfqBfZIkjXhehcoDJcKJ3KJp2h9nbWcPUxfwOzsvASsXs6wyB9G0luBue*GxIQX117/YANGA1.jpg?width=650)
Yanga yampa Maximo wachezaji 60
Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Mwandishi Wetu
KOCHA anayetarajiwa kujiunga na Yanga kama mambo yatakwenda vizuri, atapewa takribani wachezaji 60 wawe chini ya himaya yake. Uongozi wa Yanga kupitia kamati yake ya mashindano, umechukua uamuzi wa kumkabidhi Maximo timu kubwa pamoja na ile ya vijana chini ya miaka 20.
Uamuzi huo unatokana na historia ya Maximo ambaye alikuza vijana wengi wakati akiwa kocha wa timu ya taifa,...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Pluijm: Wachezaji Yanga wazembe
>Kocha wa Yanga, Hans der Van Pluijm amesema uzembe wa baadhi ya wachezaji wake unaigharimu timu hiyo katika harakati zake za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu; huku akiwataka washambuliaji wake kubadilika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania