Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eric Dier: Evra, Aguero, Cantona - wakati ambapo wachezaji walikerwa na kuamua kuwapiga mashabiki

Eric Dier sio mchezaji wa kwanza kuwa na hasira na mashabiki - Je unayakumbuka mateke ya Patrice Evra na Eric Cantona?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Metro.Co.Uk

New Manchester United signing Bruno Fernandes compared to Eric Cantona

New Manchester United signing Bruno Fernandes compared to Eric Cantona  Metro.co.ukMan United urged to sack Solskjaer and appoint Pochettino  The Sport ReviewBruno Fernandes ‘different from the others’ as risk-taker counters Pogba’s absence at Man Utd  Goal.comManchester United to train as normal despite Coronavirus fears  CaughtOffsideBruno Fernandes: Man United boss Ole Gunnar Solskjaer wants perfection  The Sport ReviewView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mwananchi

Azam FC: Ni wakati wa kuamua ipi njia sahihi

Hakuna aliyewahi kuwaza kuwa ingetokea timu ambayo kwa misimu minne mfululizo ingezitenganisha Yanga na Simba katika nafasi mbili za juu.

 

10 years ago

Michuzi

Eric Omondi alivyovunja mbavu za mashabiki kwenye onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015

Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya akifanya manjonjo yake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015 lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res SalaamMshairi Neema Komba, kutoka La poetista akifannya ushairi wake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015, lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res SalaamGrace Matata, akitumbuiza wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015, lililofanyika siku...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: ERIC OMONDI ALIVYOVUNJA MBAVU ZA MASHABIKI KWENYE ONYESHO LA EAST AFRICA VIBES CONCERT (EAVC) 2015

Mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya akifanya manjonjo yake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015 lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res Salaam.Picha zote na Pamoja BlogMshairi Neema Komba, kutoka La poetista akifannya ushairi wake wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert (EAVC) 2015, lililofanyika siku ya Jumamosi pale Nafasi Art Space, jijini Da res SalaamGrace Matata, akitumbuiza wakati wa onyesho la East Africa Vibes Concert...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars

Mashabiki wa soka jana walizua tafrani kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam baada ya kujaribu kuwatimua wachezaji wa Taifa Stars waliofika uwanjani hapo kwa mazoezi ya kujiandaa kuwakabili Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan 2016).

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji, mashabiki wakitimiza wajibu, ushindi Yanga utapatikana

Timu ya Yanga, leo itaingia kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kucheza na Etoile du Sahel ya Tunisia katika mechi ya kwanza ya hatua ya 16 bora ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini

>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaah”.

 

5 years ago

Michuzi

MHANI:WACHEZAJI JIFUENI MAJUMBANI KUJIWEKA FITI WAKATI MKIJIKINGA NA CORONA

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMCHEZAJI mkongwe aliyewahi kucheza katika vilabu mbalimbali nchini ikiwemo timu ya Taifa (Taifa Starts), Douglas Mhani, amewataka wachezaji kufanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti.
Mhani alitoa rai hiyo mkoani hapa,ambapo alisema tangu ugonjwa wa corona uingie nchini, hatua mbalimbali zinachukuliwa na serikali kuhakikisha tunapambana nao, huku madaktari bingwa ulimwenguni wakiendelea kutafuta tiba.
"Tangu kuibuka kwa ugonjwa huo wa Corona hatua mbalimbali zimekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani