Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC: Ni wakati wa kuamua ipi njia sahihi

Hakuna aliyewahi kuwaza kuwa ingetokea timu ambayo kwa misimu minne mfululizo ingezitenganisha Yanga na Simba katika nafasi mbili za juu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Barakoa ipi ni sahihi kwa matumizi?

Kuna vifaa vya kujikinga na corona kama barakoa, glovu,miwani lakini ni nani wanapaswa kutumia?

 

11 years ago

BBCSwahili

Je, njia bora ya unyoaji ndevu ni ipi ?

Je njia bora ya kunyoa ndevu ni ipi ? Kuanzia juu kuelekea kidevu ama kidevu kwenda juu ?

 

5 years ago

Michuzi

Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo

Usomaji kwa mfumo wa kidijitali haimaanishi kupitia simu yako ya mkononi, kishikwambi au kompyuta. Ina maana ya kujenga uwezo wa kujifunza kwa kuwaunganisha walimu au wanafunzi popote walipo. Ni njia sahihi ya kujifunza inayoleta maana halisi.

Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.

Kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Udhaifu, ubora kuamua mshindi Yanga, Azam

Yanga inaikaribisha Azam leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi inayoweza kuamuliwa na udhaifu au ubora wa upande mmoja dhidi ya mwingine.

 

5 years ago

BBCSwahili

Eric Dier: Evra, Aguero, Cantona - wakati ambapo wachezaji walikerwa na kuamua kuwapiga mashabiki

Eric Dier sio mchezaji wa kwanza kuwa na hasira na mashabiki - Je unayakumbuka mateke ya Patrice Evra na Eric Cantona?

 

10 years ago

Dewji Blog

Takwimu sahihi na za wakati zitasaidia kuleta maendeleo kwa haraka barani Afrika

PICHA-NAMBA-4

Waziri Mkuu wa Uganda Mhe. Ruhakana Rugunda akiwahutubia washiriki mbalimbali kutoka barani Afrika (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika uliofanyika jana katika Ukumbi wa Mikutano wa Speke Munyoyo Kampala, Uganda.  (PICHA NA VERONICA KAZIMOTO – KAMPALA).

Na Veronica Kazimoto, Kampala

WITO umetolewa kwa washiriki wote wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika kuelendelea kutoa takwimu sahihi na kwa wakati ili kuleta maendeleo yanayokusudiwa ya...

 

11 years ago

GPL

NJIA YA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA-2

MTAALAMU Joanne Lally kutoka Chuo Kikuu cha Afya ya Jamii cha Newcastle na timu yake waliweza kubainisha mambo mengi ya msingi kuhusu uzazi salama, lakini kubwa kabisa ni faida za kumfariji mzazi mtarajiwa kabla ya wakati wa kujifungua. Kasoro kubwa ya wakunga na walezi wengi wanaohudumia wajawazito ni kuwavunja moyo na kutowajali, jambo ambalo huchangia matatizo wakati wa uzazi. Nakumbuka nilimuuliza dada Husna (si jina lake...

 

11 years ago

GPL

NJIA INAYOWEZA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA

NIMEWAHI kusoma habari za mkunga Kim Hildebrand Cardoso kutoka Berkeley, California nchini Marekani kuhusiana na uchungu waupatao wanawake wakati wa kujifungua na vifo vitokanavyo na uzazi. Ingawa sina cheti cha utabibu niliamua kujikita katika uchunguzi ili nijue kwanini akina mama wengi hasa Tanzania hupata matatizo wakati wa kujifungua? Nilichogundua ni kwamba karibu kila msichana mwenye umri wa kuweza kubeba ujauzito...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam FC njia kuu

WANALAMBALAMBA Azam FC jana walizidi kudhihirisha kuwa wabishi na kuzidi kujikita kileleni baada ya kuilaza Simba kwa mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye Uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani