SHIGONGO AWAMWAGIA DOLA WACHEZAJI STARS
![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzSzdcIlXyyhVNKUEbu7ZR7q*Rt4ePP6vSE1hIzHTobVIoDeuntmW9SeMVQh6plSn3HKVC0-6FkRWTh1QTgvKzKn/s2.jpg?width=650)
Shigongo (wa pili kutoka kulia) akizungumza na wachezaji Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. Erasto Nyoni wa pili kushoto ndiye aliyepokea Dola hizo kwa niamba ya wachezaji wenzake. Mmiliki wa kampuni ya Global Publishers Limited, wachapishaji wa magazeti ya Amani, Uwazi, Ijumaa, Championi, na Risasi. Eric James Shigongo aliwahutubia wachezaji wa timu ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta,…...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s72-c/TFF+Logo.jpg)
WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s1600/TFF+Logo.jpg)
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Mart Nooij alia na wachezaji Stars
WAKATI kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Satrs kikirejea nchini jana kutoka Msumbiji, Kocha Mkuu Mart Nooij, amesema moja ya sababu kuu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mashabiki wawafanyia fujo wachezaji Stars
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Taifa Stars : Tatizo ni makocha au wachezaji?
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wachezaji Taifa Stars kuripoti kambini leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars,’ leo inatarajiwa kuingia kambini leo kujiandaa na mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Burundi itakayopigwa Septemba 7, mjini Bujumbura, Burundi. Kwa mujibu...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Kiwango cha wachezaji Taifa Stars chamkuna Mkwassa
9 years ago
Habarileo25 Aug
Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zdxnlnjt4sQ/VX6rn32I7fI/AAAAAAAHfhE/mz0emDHv1FY/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwatanzania%2Bwalipata%2Bnafasi%2Bya%2Bkushuduia%2Bmchezo.jpg)
TAIFA STARS YAANZAUSAJILI WA WACHEZAJI KUANZA JUNI 15 MWAKA HUU.
Taifa Stars ilicheza vizuri kipindi cha kwanza na hasa sehemu ya ulinzi ilifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya washambuliaji wa timu ya Misri, na kupelekea...