TAIFA STARS YAANZAUSAJILI WA WACHEZAJI KUANZA JUNI 15 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zdxnlnjt4sQ/VX6rn32I7fI/AAAAAAAHfhE/mz0emDHv1FY/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwatanzania%2Bwalipata%2Bnafasi%2Bya%2Bkushuduia%2Bmchezo.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 98TAREHE 15 JUNI, 2015TAIFA STARS YAFUNGWA NA MISRITimu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, leo imepoteza mchezo wake wa kwanza kuwania kufuzu kwa fainali za AFCON mwaka 2017 baada ya kufungwa kwa mabao 3 - 0 na wenyeji Misri.
Taifa Stars ilicheza vizuri kipindi cha kwanza na hasa sehemu ya ulinzi ilifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya washambuliaji wa timu ya Misri, na kupelekea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iM_dimWMY2U/XqWhlk9w6PI/AAAAAAALoSo/0xOVA4QI-DMEY8UpbRfMYf6k6u1cJ4nWACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-8-768x512.jpg)
GGM KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI YA TAIFA MWEZI JUNI MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-iM_dimWMY2U/XqWhlk9w6PI/AAAAAAALoSo/0xOVA4QI-DMEY8UpbRfMYf6k6u1cJ4nWACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-8-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-6-1024x683.jpg)
Muonekano wa sehemu ya mitambo ya katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu kinachotarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Mei, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-3-5-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akikagua...
11 years ago
GPLTAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s72-c/KINYOYA.jpg)
UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s320/KINYOYA.jpg)
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...
10 years ago
MichuziTAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU.
Hayo yamesemwa na Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu litakuwa na kauli mbiu ya “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aQ3jX8hwxK4/VW8BxbcSbFI/AAAAAAAHbuU/MRGHOnKL5MM/s72-c/Baobab%2BStaff%2Bpic1-1.jpg)
TASWA FC KUJIPIMA NA BAOBAB SEKONDARI JUNI 5 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-aQ3jX8hwxK4/VW8BxbcSbFI/AAAAAAAHbuU/MRGHOnKL5MM/s640/Baobab%2BStaff%2Bpic1-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mdNJu4UUSrQ/VW8BxAf_vCI/AAAAAAAHbuQ/zmgbtfhjpCk/s640/taswa%2Bfc.jpg)
Na Mwandishi wetuTIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC) Ijumaa hii itacheza mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya timu ya wafanyakazi wa shule ya sekondari ya Baobab ya Bagamoyo.
Mchezo huo umepangwa kuanza saa 10.00 jioni kwenye uwanja wa Shule ya sekondari ya Baobab na mgeni...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA BAISKELI KUFANYIKA JIJINI DAR JUNI 14 MWAKA HUU.
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA BAGAMOYO JUNI 14 MWAKA HUU
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kutangazwa kwa Tamasha la Historical Marathoni litakalofanyika...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Taifa Stars : Tatizo ni makocha au wachezaji?