Wachezaji Taifa Stars kuripoti kambini leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars,’ leo inatarajiwa kuingia kambini leo kujiandaa na mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Burundi itakayopigwa Septemba 7, mjini Bujumbura, Burundi. Kwa mujibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bRRgQskcmmM/VUtVkBdLwVI/AAAAAAAHV-I/SmEAtIe2wFU/s72-c/kochaaaa.jpg)
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28
![](http://3.bp.blogspot.com/-bRRgQskcmmM/VUtVkBdLwVI/AAAAAAAHV-I/SmEAtIe2wFU/s640/kochaaaa.jpg)
Tanzania (Taifa Stars), Mart NooijKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakaoingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam, kujiandaa na michuano ya kombe la COSAFA na kuwania kufuzu kwa AFCON na CHAN mwezi Juni mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF amesema, wachezaji 28 aliowaita, amewaona kwa...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Taifa Stars yaingia kambini
Taifa Stars inaingia kambini leo kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Benin itakayochezwa Oktoba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/ma.png?width=645)
TAIFA STARS MABORESHO YAINGIA KAMBINI
Kikosi cha Taifa Stars Maboresho kimeingia kambini leo (Desemba 1 mwaka huu) Bulyanhulu mkoani Shinyanga kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Desemba 9 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Ikiwa chini ya Kocha Mart Nooij, Stars Maboresho itapiga kambi mkoani humo hadi Desemba 6 mwaka huu ambapo itarejea jijini Dar es Salaam tayari kwa ajili ya mechi hiyo itakayochezwa Uwanja wa Taifa. Wachezaji walioingia...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s72-c/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s1600/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QkOnQBl4rAk/VWwtZ0xqY7I/AAAAAAAHbFY/_5AFuZPQNWc/s72-c/tff_logo.jpg)
STARS KUINGIA KAMBINI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-QkOnQBl4rAk/VWwtZ0xqY7I/AAAAAAAHbFY/_5AFuZPQNWc/s400/tff_logo.jpg)
Kikosi kitakachoingia kambini kinawajumuisha wachezaji waliocheza michuano ya Cosafa nchini Afrika Kusini mwishoni mwa mwezi Mei, wachezaji 20 walioanza kambi tangu wiki iliyopita na wachezaji wanaocheza soka la kulipwa nchini Congo DR.
Taifa...
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Twiga Stars kuingia kambini leo
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake ,Twiga Stars inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar
10 years ago
Habarileo06 Aug
Twiga Stars kuingia kambini Zanzibar leo
TIMU ya Taifa Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar kujiandaa na Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzaville.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania