STARS KUINGIA KAMBINI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-QkOnQBl4rAk/VWwtZ0xqY7I/AAAAAAAHbFY/_5AFuZPQNWc/s72-c/tff_logo.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambayo inadhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo inaingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyopo eneo la Gerezani kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON).
Kikosi kitakachoingia kambini kinawajumuisha wachezaji waliocheza michuano ya Cosafa nchini Afrika Kusini mwishoni mwa mwezi Mei, wachezaji 20 walioanza kambi tangu wiki iliyopita na wachezaji wanaocheza soka la kulipwa nchini Congo DR.
Taifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Twiga Stars kuingia kambini leo
10 years ago
Habarileo06 Aug
Twiga Stars kuingia kambini Zanzibar leo
TIMU ya Taifa Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar kujiandaa na Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzaville.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aXiLWSwafn8/VWQ0uvKOomI/AAAAAAAA-QM/kgcqCR8NS1U/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
STARS KUINGIA KAMBINI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-aXiLWSwafn8/VWQ0uvKOomI/AAAAAAAA-QM/kgcqCR8NS1U/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij, amewaita wachezaji 16 kuingia kambini kesho siku ya jumatano kwa ajili ya kupimwa afya zao na kujua maandeleo yao kabla ya kuwajumisha katika kikosi cha pamoja kitakachokua kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Misri.
Wachezaji walioitwa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wachezaji Taifa Stars kuripoti kambini leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars,’ leo inatarajiwa kuingia kambini leo kujiandaa na mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Burundi itakayopigwa Septemba 7, mjini Bujumbura, Burundi. Kwa mujibu...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Mabibi Bomba 10 kuingia kambini
MSIMU mpya wa shindano la Bibi Bomba umewadia kwa mara nyingine tena, huku mabibi 10 wakifanikiwa kupata nafasi ya kuingia kambini wiki hii kwa ajili ya shindano hilo. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi05 May
Timu ya Taifa ya Kuogelea yashindwa kuingia kambini
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Stars yarejea kambini Mbeya
KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kesho kinatarajia kwenda jijini Mbeya kuendelea kujifua kuelekea mechi ya marudiano dhidi ya Msumbiji itakayochezwa wiki mbili zijazo, mjini Maputo, Msumbiji....
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Taifa Stars yaingia kambini