Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya Taifa ya Kuogelea yashindwa kuingia kambini

Wakati msafara wa mwisho wa timu za Tanzania zinazokwenda kuweka kambi nje ya nchi ukiwa umeshaondoka jana kwenda New Zealand, timu ya Taifa ya Kuogelea imeshindwa kujiunga na kambi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mabibi Bomba 10 kuingia kambini

MSIMU mpya wa shindano la Bibi Bomba umewadia kwa mara nyingine tena, huku mabibi 10 wakifanikiwa kupata nafasi ya kuingia kambini wiki hii kwa ajili ya shindano hilo. Akizungumza na...

 

10 years ago

Vijimambo

STARS KUINGIA KAMBINI KESHO


Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajiwa kuingia kambini kesho jumatano katika hoteli ya Tansoma iliyopo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri kuwania kufuzu kwa AFCON. 

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij, amewaita wachezaji 16 kuingia kambini kesho siku ya jumatano kwa ajili ya kupimwa afya zao na kujua maandeleo yao kabla ya kuwajumisha katika kikosi cha pamoja kitakachokua kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Misri. 

Wachezaji walioitwa...

 

10 years ago

Michuzi

STARS KUINGIA KAMBINI LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambayo inadhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo inaingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyopo eneo la Gerezani kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON).
Kikosi kitakachoingia kambini kinawajumuisha wachezaji waliocheza michuano ya Cosafa nchini Afrika Kusini mwishoni mwa mwezi Mei, wachezaji 20 walioanza kambi tangu wiki iliyopita na wachezaji wanaocheza soka la kulipwa nchini Congo DR.
Taifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Twiga Stars kuingia kambini leo

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake ,Twiga Stars inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar

 

10 years ago

Habarileo

Twiga Stars kuingia kambini Zanzibar leo

TIMU ya Taifa Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar kujiandaa na Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzaville.

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.

"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia  Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 3-0 mpaka sasa. Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas...

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yaingia kambini

Taifa Stars inaingia kambini leo kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Benin itakayochezwa Oktoba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

TAIFA STARS MABORESHO YAINGIA KAMBINI

Kikosi cha Taifa Stars Maboresho kimeingia kambini leo (Desemba 1 mwaka huu) Bulyanhulu mkoani Shinyanga kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Desemba 9 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Ikiwa chini ya Kocha Mart Nooij, Stars Maboresho itapiga kambi mkoani humo hadi Desemba 6 mwaka huu ambapo itarejea jijini Dar es Salaam tayari kwa ajili ya mechi hiyo itakayochezwa Uwanja wa Taifa. Wachezaji walioingia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani