Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kiwango cha wachezaji Taifa Stars chamkuna Mkwassa

Kocha mkuu wa Taifa Stars, Charles Mkwassa ameeleza kuridhishwa na kiwango cha wachezaji wake katika kambi yao inayoendelea nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

Michuzi

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28


Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya
Tanzania (Taifa Stars), Mart NooijKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakaoingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam, kujiandaa na michuano ya kombe la COSAFA na kuwania kufuzu kwa AFCON na CHAN mwezi Juni mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF amesema, wachezaji 28 aliowaita, amewaona kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Nigeria afurahia sare na Stars

Pg 32*Akiri mambo yalikua magumu upande wao

*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.

Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

11 years ago

Michuzi

TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA

Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage amesema kikosi chake kiko tayari kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia itakayochezwa keshokutwa (Ijumaa) jijini Lusaka.
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake

Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ametamka kwamba baadhi ya wachezaji wake hawakufuata maelekezo katika zoezi la upigaji wa penalti ambazo ziliwaondoa mashindanoni, huku mshambuliaji wake Kipre Tchetche akikataa kupiga penalti hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Kocha Marekani asifia uwezo wachezaji wake

Kocha wa timu ya taifa ya Marekani, Jurgen Klinsmann amekipongeza kikosi chake licha ya kutolewa katika hatua ya mtoano ya timu 16 za Kombe la Dunia dhidi ya Ubelgiji, akisema wana nafasi ya kufanya makubwa katika siku zijazo.

 

10 years ago

Michuzi

Kocha wa Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi Aongeza Juhudi ya kunyanyua Kiwango cha Mpira wa Miguu Zenj

Kocha wa timu ya Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi akiwa katika Mazoezi ya kawaida kwenye viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014. Kocha wa timu ya Zanzibar Cosmos Seif  Mbuzi akiwafundisha na vijana wake jinsi ya kufunga magoli ya mbali katika Mazoezi kwenye viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS

Kocha msaidi wa klabu ya Yanga Charles Boniface Mkwassa. Na Phillip Nkini KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewekewa ngumu na Klabu ya Yanga, baada ya Wanajangwani hao kumgomea kocha wao kuifundisha Taifa Stars. Juzi kamati hiyo ilimtimua aliyekuwa Kocha Mkuu wa Stars, Mart Nooij, baada ya kulala kwa mabao 3-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani