YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS
![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJYFpJ3F3xwcC46Nbysxn81JJ7IvVzkeJrf7OSsK5jbswYySontJ1sDBf2gcPtjBy0nhNGoEq4gefE9qE02Gg2H/Mkwasa.jpg?width=650)
Kocha msaidi wa klabu ya Yanga Charles Boniface Mkwassa. Na Phillip Nkini KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewekewa ngumu na Klabu ya Yanga, baada ya Wanajangwani hao kumgomea kocha wao kuifundisha Taifa Stars. Juzi kamati hiyo ilimtimua aliyekuwa Kocha Mkuu wa Stars, Mart Nooij, baada ya kulala kwa mabao 3-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s72-c/kibadeniii.jpg)
KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s400/kibadeniii.jpg)
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiUjaUWzPihm9wHe4yWPjK6Ky-tovi0ziEsvAQu4kjNcIC*WdbqQx2y2TnGf*5Za5QJphJkjthV6ykxe-8BibLe/kocha.jpg?width=650)
Kocha Mbelgiji ajitolea kuinoa Yanga
9 years ago
Habarileo25 Aug
Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Yanga yazuia nyota wake Stars
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s72-c/Mkwasa1001.jpg)
MKWASA KUINOA STARS, NOOIJ AWAAGA WATANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s400/Mkwasa1001.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya Tansoma, Malinzi amesema wameamua kuagana nae mbele ya vyombo ya habari kama iliyofanyika pia wakati wa utambulisho wake wakati wa kuanza kazi.
“Mpira wa miguu unachangamoto nyingi, watanzania tunasafari ndefu katika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
MHOLANZI AKABIDHIWA MIKOBA YA KUINOA TAIFA STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Rais wa TFF, Jamal Malinzi amemtambulisha kocha huyo leo (Aprili 26 mwaka huu) kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akiwa amefuatana na Makamu wake Wallace Karia, amesema anafurahi kumtangaza Nooij na ana matarajio kuwa Tanzania itanufaika na uzoefu wake mkubwa wa ukocha, hasa katika bara la...