Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Mbelgiji ajitolea kuinoa Yanga

Kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji. Na Hans Mloli
SAA chache baada ya kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm kuweka wazi kwamba hataendelea kuinoa timu hiyo msimu ujao, tayari Kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji ametangaza kuwa yupo tayari kuchukua mikoba ya Mholanzi huyo. Pluijm amemaliza mkataba wake wa miezi sita na jana alitangaza kutimkia Saudi Arabia alikopata ofa nzuri zaidi kuinoa Al Shoala SC inayoshiriki ligi kuu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS

Kocha msaidi wa klabu ya Yanga Charles Boniface Mkwassa. Na Phillip Nkini KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewekewa ngumu na Klabu ya Yanga, baada ya Wanajangwani hao kumgomea kocha wao kuifundisha Taifa Stars. Juzi kamati hiyo ilimtimua aliyekuwa Kocha Mkuu wa Stars, Mart Nooij, baada ya kulala kwa mabao 3-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbelgiji: Yanga imeliwa kwa Pluijm

>Kocha Luc Eymael amemponda kocha mpya wa Yanga, Mdachi Hans Van der  Pluijm akisema hawezi kuipa timu hiyo mafanikio kwani hajafanya jambo lolote la maana katika soka ukilinganisha na yeye.

 

11 years ago

GPL

Mbelgiji aahidi kufanya makubwa Yanga

Kocha wa zamani wa AFC Leopards, Luc Eymael. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa AFC Leopards, Luc Eymael, amesema kuwa mazungumzo yake na Yanga bado yanaendelea na anaamini kuwa akipata timu hiyo ataifanyia makubwa.
Eymael aliomba kuifudisha Yanga ambayo hivi karibuni ilimtimua aliyekuwa kocha wake mkuu…

 

9 years ago

Michuzi

KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ akisaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC

Na Bin ZubeiryMazungumzo yamekwishanyika na makubaliano yamefikiwa baina ya Patrick Phiri kutoka Zambia (pichani)  na Simba SC na sasa atakuja kufanya kazi tena Msimbazi, akisaidiwa na Nahodha wake enzi zake akifundisha timu hiyo, Suleiman Abdallah Matola ‘Osama’.

Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nsajigwa kuinoa Yanga Kagame

KLABU ya Yanga imewateua Kocha Msaidizi, Mbrazil Leonardo Neiva na beki wa zamani wa timu hiyo na Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa ambaye ni kocha wa timu B kusafiri na kikosi...

 

11 years ago

GPL

MKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA

Uongozi wa Young Africans SC umepata warithi wa nafasi tatu za benchi la ufundi (Charles Boniface Mkwasa, Juma Pondamali na Dr. Suphian Juma), huku wakiendelea na mchakato kumpata kocha mkuu ambaye atachukua nafasi ya mholanzi Ernie Brandts aliyesitishiwa mkataba wake mwishoni mwa mwaka 2013. Charles Boniface Mkwasa 'Master' aliyekua kocha mkuu wa timu ya Ruvu Shooting katika mzunguko wa kwanza anachukua nafasi ya aliyekua kocha...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani