Kocha Mbelgiji ajitolea kuinoa Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiUjaUWzPihm9wHe4yWPjK6Ky-tovi0ziEsvAQu4kjNcIC*WdbqQx2y2TnGf*5Za5QJphJkjthV6ykxe-8BibLe/kocha.jpg?width=650)
Kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji. Na Hans Mloli SAA chache baada ya kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm kuweka wazi kwamba hataendelea kuinoa timu hiyo msimu ujao, tayari Kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji ametangaza kuwa yupo tayari kuchukua mikoba ya Mholanzi huyo. Pluijm amemaliza mkataba wake wa miezi sita na jana alitangaza kutimkia Saudi Arabia alikopata ofa nzuri zaidi kuinoa Al Shoala SC inayoshiriki ligi kuu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJYFpJ3F3xwcC46Nbysxn81JJ7IvVzkeJrf7OSsK5jbswYySontJ1sDBf2gcPtjBy0nhNGoEq4gefE9qE02Gg2H/Mkwasa.jpg?width=650)
YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Mbelgiji: Yanga imeliwa kwa Pluijm
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5TUGCs8p7*GGoraBuR3oBW-dVyKA6rAjbT1YPeVyR2WHwcmxNK0weu1wCaYMQUR15X2Hc5M8Uhl2-uE5emi0X3/mbelijiji.jpg?width=650)
Mbelgiji aahidi kufanya makubwa Yanga
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s72-c/kibadeniii.jpg)
KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s400/kibadeniii.jpg)
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Nsajigwa kuinoa Yanga Kagame
KLABU ya Yanga imewateua Kocha Msaidizi, Mbrazil Leonardo Neiva na beki wa zamani wa timu hiyo na Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa ambaye ni kocha wa timu B kusafiri na kikosi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R2xUNuvwodS8YmUX6wjSyQRoVsDp5VUW3XHRWwItNCF8I9iiw4mhvPmNxn5cxopxH9QwJFbDjEGQE1VhS-yfdsI/yanga.jpg?width=330)
MKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)