MHOLANZI AKABIDHIWA MIKOBA YA KUINOA TAIFA STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza rasmi Mart Nooij kutoka Uholanzi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars).
Rais wa TFF, Jamal Malinzi amemtambulisha kocha huyo leo (Aprili 26 mwaka huu) kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akiwa amefuatana na Makamu wake Wallace Karia, amesema anafurahi kumtangaza Nooij na ana matarajio kuwa Tanzania itanufaika na uzoefu wake mkubwa wa ukocha, hasa katika bara la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Mkwasa apewa mkataba rasmi kuinoa Taifa Stars
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeKgtJZx2mwfY6hwxRM2PpJGygZMiR1izExEhq-F3mG2RVmE8Yj7Bx*C0LcQehAVe-zdgWQtlDQQc2YBs9G-X-78/dunga.jpg?width=650)
DUNGA ACHUKUA MIKOBA YA SCOLARI KUINOA BRAZIL
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza
11 years ago
GPLMatola akabidhiwa mikoba ya Loga Simba
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Breaking news: Benitez atimuliwa Madrid… Mikoba yake akabidhiwa Zidane
![zizu](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/zizu.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s72-c/Mkwasa1001.jpg)
MKWASA KUINOA STARS, NOOIJ AWAAGA WATANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s400/Mkwasa1001.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya Tansoma, Malinzi amesema wameamua kuagana nae mbele ya vyombo ya habari kama iliyofanyika pia wakati wa utambulisho wake wakati wa kuanza kazi.
“Mpira wa miguu unachangamoto nyingi, watanzania tunasafari ndefu katika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s72-c/kibadeniii.jpg)
KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s400/kibadeniii.jpg)
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJYFpJ3F3xwcC46Nbysxn81JJ7IvVzkeJrf7OSsK5jbswYySontJ1sDBf2gcPtjBy0nhNGoEq4gefE9qE02Gg2H/Mkwasa.jpg?width=650)
YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mkwasa kupewa mikoba ya Stars ?