Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matola akabidhiwa mikoba ya Loga Simba

Kuanzia Kushoto: Kocha Msaidizi Seleman Matola, Tambwe, Amri Kiemba, Joseph Owino, Jonas Mkude, Musoti. Mbele Kushoto: Singano, Awadhi, Haruna Chanongo, Ivo Mapunda, Rashid Baba Ubaya ,Haruna Shamte. Na Martha Mboma
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amepewa mikoba ya kukinoa kikosi cha timu hiyo mpaka kocha mkuu, Zdravko Logarusic, atakapowasili nchini kesho akitokea kwao, Croatia. Simba inatarajiwa kuanza mazoezi kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Loga, Matola wavurugana Dar

Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Sweetbert Lukonge na Phillip Nkini
MAKOCHA wa Simba, Zdravko MAKOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic na Selemani Matola, juzi Jumamosi walizozana nusura wakunjane uwanjani baada ya kushindwa kuelewana, kila mmoja akitaka lake. Logarusic ambaye ni bosi wa benchi la ufundi, wasaidizi wake Matola na Iddi Pazi waliingia kwenye mgogoro huo wa aina yake uliosababishwa na mtoto wa Pazi, Zahoro...

 

9 years ago

Mwananchi

Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza

Mshambuliaji tegemeo wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’ atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili akiuguza majeraha, lakini kocha Dylan Kerr na kiungo Justice Majabvi wamemtaja kinda, Joseph Kimwaga kama mtu mwenye uwezo wa kuziba pengo hilo.

 

11 years ago

Michuzi

MHOLANZI AKABIDHIWA MIKOBA YA KUINOA TAIFA STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza rasmi Mart Nooij kutoka Uholanzi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars).
Rais wa TFF, Jamal Malinzi amemtambulisha kocha huyo leo (Aprili 26 mwaka huu) kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akiwa amefuatana na Makamu wake Wallace Karia, amesema anafurahi kumtangaza Nooij na ana matarajio kuwa Tanzania itanufaika na uzoefu wake mkubwa wa ukocha, hasa katika bara la...

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking news: Benitez atimuliwa Madrid… Mikoba yake akabidhiwa Zidane

zizuSafari ya Real Madrid na kocha Rafa Benitez imefikia ukingoni baada ya kutimuliwa leo. Gwiji la timu hiyo, Zinedine Zidane amepewa jukumu la kukinoa kikosi cha Madrid na ndiyo anakuwa mocha mkuu. Real Madrid imemtimua Benitez baada ya miezi sita tu  na ikiwa ni siku moja tu baada ya sale ya mabao 2-2 dhidi ya  Valencia inayonolewa na Kocha Gary Neville ambaye ni nyota wa zamani wa Man United.

 

9 years ago

Habarileo

Matola abwaga manyanga Simba

HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.

 

10 years ago

Mwananchi

Matola ajiuzulu ukocha Simba

Klabu ya Simba imethibitisha kuachana na kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola na kueleza kumweka hadharani mrithi wake atakayesaidiana na kocha mkuu, Goran Kopunovic wakati wowote kuanzia sasa.

 

11 years ago

GPL

Matola Kocha Mkuu Simba

Na Mwandishi Wetu
SELEMANI Matola ataonja utamu wa kuwa Kocha Mkuu Simba kwa zaidi ya saa 96 baada mwenye nafasi hiyo kuridhia aitumikie. Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic, amekubali Matola apewe nafasi hiyo kuanzia leo Jumatatu hadi Ijumaa asubuhi atakapowasili akitokea kwao Croatia.
Chanzo kimesema hali hiyo inatokana na Logarusic kuchelewa kurejea nchini. “Kweli kocha katuambia atachelewa na nafasi ya ukocha mkuu apewa...

 

10 years ago

GPL

Matola, Pazi wachunguzwa Simba

Kocha mzawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
MAKOCHA wazawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola na Idd Pazi, wanachunguzwa na uongozi wa klabu hiyo baada ya kudaiwa kuwa wanaihujumu ili ishindwe kufanya vizuri katika mechi zake za Ligi Kuu Bara. Makocha hao pia waliwahi kuitumikia Simba kama wachezaji miaka ya nyuma na sasa ni makocha wakisaidiana na Mzambia, Patrick Phiri kukinoa kikosi...

 

10 years ago

GPL

Mkenya atua Simba SC, Matola out

Kocha msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Na Waandishi Wetu
UONGOZI wa Simba umelazimika kuachana na kocha msaidizi, Selemani Matola na tayari kuna taarifa kuwa nafasi yake itachukuliwa na Mkenya, Yusuf Chippo ambaye aliwahi kuifundisha Coastal Union ya Tanga. Simba imefikia hatua hiyo baada ya kujadili kwa kina barua aliyoiandika Matola kwa viongozi wake kutaka kupumzika ili kutatua matatizo ya kifamilia lakini pia akiomba au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani