Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matola Kocha Mkuu Simba

Na Mwandishi Wetu
SELEMANI Matola ataonja utamu wa kuwa Kocha Mkuu Simba kwa zaidi ya saa 96 baada mwenye nafasi hiyo kuridhia aitumikie. Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic, amekubali Matola apewe nafasi hiyo kuanzia leo Jumatatu hadi Ijumaa asubuhi atakapowasili akitokea kwao Croatia.
Chanzo kimesema hali hiyo inatokana na Logarusic kuchelewa kurejea nchini. “Kweli kocha katuambia atachelewa na nafasi ya ukocha mkuu apewa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola aachana rasmi na klabu hiyo!

Matola5                                       Kocha Seleman Matola 

Na Rabi Hume

Kocha msaidizi wa klabu ya Simba SC, Selemani Matola ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na Simba kufuatia kutokuwepo kwa maelewano mazuri na kocha mkuu, Dyran Kerr.

Matola amesema kuwa kwa kipindi kirefu amekuwa hana maelewano mazuri na kocha huyo kwa kila jambo ambalo anamshauli kocha mkuu Kerr kuwa akikataa na hata muda mwingine kumtolea maneno ya dharau.

Aidha Matola amesema kuonyesha kuwa kocha huyo hakuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City

Hofu, hujuma na kusalitiana imetanda ndani ya ngome ya Mbeya City baada ya jana Mwenyekiti wa Tawi la Mwanjelwa, Wille Matala kutimuliwa.

 

9 years ago

StarTV

Kocha Matola akiri kuwepo na ushindani. ligi dalaja la kwanza  

 

Wakati ligi soka daraja la kwanza Taifa itaendelea Jumamosi hii kwenye miji mbalimbali,kocha mkuu wa timu ya Geita Gold Sports Suleiman Matola amekiri michuano hiyo si lele mama kutokana na kila timu kuonesha ushindani.

Mtaalamu huyo wa ufundi amebainisha pamoja na timu yake kuongoza kundi lao C wakiwa na pointi 17 lakini hawatofautiana sana kwa pointi na wapinzani wao kwenye kundi hilo.

 Kocha Matola amesema michuano ya ligi daraja la kwanza ushindani wake umechochewa na timu nyingi...

 

9 years ago

StarTV

Gerefa yaingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Suleiman Matola.

 

Hatimaye Chama Cha Mpira Mkoa wa Geita Gerefa kimeingia mkataba na Suleiman Matola kuwa kocha Mkuu wa Timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anainoa ipasavyo kwa lengo la kuhakikisha inapanda daraja ambapo kwa sasa timu ya Geita Gold Sports ipo katika ligi  daraja la Kwanza Tanzania Bara.

Mwenyekiti wa Chamacha Gerefa Salum Kulunge amesema kocha Matola kwa uwezo alionao wa ufundishaji na mafanikia aliyonayo katika kuinua mchezo wa soka huku akiwaana leseni kubwa ya ufundishaji wa soka hapa...

 

10 years ago

Mwananchi

Matola ajiuzulu ukocha Simba

Klabu ya Simba imethibitisha kuachana na kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola na kueleza kumweka hadharani mrithi wake atakayesaidiana na kocha mkuu, Goran Kopunovic wakati wowote kuanzia sasa.

 

10 years ago

GPL

Mkenya atua Simba SC, Matola out

Kocha msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Na Waandishi Wetu
UONGOZI wa Simba umelazimika kuachana na kocha msaidizi, Selemani Matola na tayari kuna taarifa kuwa nafasi yake itachukuliwa na Mkenya, Yusuf Chippo ambaye aliwahi kuifundisha Coastal Union ya Tanga. Simba imefikia hatua hiyo baada ya kujadili kwa kina barua aliyoiandika Matola kwa viongozi wake kutaka kupumzika ili kutatua matatizo ya kifamilia lakini pia akiomba au...

 

9 years ago

Habarileo

Matola abwaga manyanga Simba

HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.

 

10 years ago

GPL

Matola, Pazi wachunguzwa Simba

Kocha mzawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
MAKOCHA wazawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola na Idd Pazi, wanachunguzwa na uongozi wa klabu hiyo baada ya kudaiwa kuwa wanaihujumu ili ishindwe kufanya vizuri katika mechi zake za Ligi Kuu Bara. Makocha hao pia waliwahi kuitumikia Simba kama wachezaji miaka ya nyuma na sasa ni makocha wakisaidiana na Mzambia, Patrick Phiri kukinoa kikosi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani