Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Loga, Matola wavurugana Dar

Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Sweetbert Lukonge na Phillip Nkini
MAKOCHA wa Simba, Zdravko MAKOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic na Selemani Matola, juzi Jumamosi walizozana nusura wakunjane uwanjani baada ya kushindwa kuelewana, kila mmoja akitaka lake. Logarusic ambaye ni bosi wa benchi la ufundi, wasaidizi wake Matola na Iddi Pazi waliingia kwenye mgogoro huo wa aina yake uliosababishwa na mtoto wa Pazi, Zahoro...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Matola akabidhiwa mikoba ya Loga Simba

Kuanzia Kushoto: Kocha Msaidizi Seleman Matola, Tambwe, Amri Kiemba, Joseph Owino, Jonas Mkude, Musoti. Mbele Kushoto: Singano, Awadhi, Haruna Chanongo, Ivo Mapunda, Rashid Baba Ubaya ,Haruna Shamte. Na Martha Mboma
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amepewa mikoba ya kukinoa kikosi cha timu hiyo mpaka kocha mkuu, Zdravko Logarusic, atakapowasili nchini kesho akitokea kwao, Croatia. Simba inatarajiwa kuanza mazoezi kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM Ilala wavurugana

MGOGORO umezuka miongoni mwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Upanga Magharibi jijini Dar es Salaam kwa kile kilichoelezwa mmoja wa wagombea wa Serikali ya Mtaa anayedaiwa kukingiwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM Kihangaiko wavurugana

MCHAKATO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpata mgombea uenyekiti wa Kijiji cha Kihangaiko Tarafa ya Msata wilayani Bagamoyo, Pwani, mwishoni mwa wiki umeingia dosari baada ya wajumbe kunusurika kuzichapa hadharani...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wavurugana Mahakama ya Kadhi

Waziri Mkuu, Mizengo PindaBAADA ya kutokea kutoelewana miongoni mwa wabunge juu ya marekebisho ya muswada wa sheria inayoruhusu kuundwa kwa Mahakama ya Kadhi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuna haja ya Serikali kutafakari upya kuhusu suala hilo kabla ya kuliwasilisha bungeni.

 

9 years ago

Mwananchi

Miraj, Hamad Rashid wavurugana ADC

Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraj amemshushia tuhuma tatu mgombea urais wa chama hicho visiwani Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed, huku akisisitiza kuwa ili kukinusuru chama hicho ni lazima afukuzwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania Kwanza Nje wavurugana hadharani

Wajumbe wa Kundi la Tanzania Kwanza nje ya Bunge la Maalumu la Katiba jana waligawanyika mbele ya waandishi wa habari waliowaita kueleza mkakati wao wa kuandamana nchi nzima kupingana na mahasimu wao wa Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Mwananchi

Matola ajiuzulu ukocha Simba

Klabu ya Simba imethibitisha kuachana na kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola na kueleza kumweka hadharani mrithi wake atakayesaidiana na kocha mkuu, Goran Kopunovic wakati wowote kuanzia sasa.

 

11 years ago

GPL

Matola Kocha Mkuu Simba

Na Mwandishi Wetu
SELEMANI Matola ataonja utamu wa kuwa Kocha Mkuu Simba kwa zaidi ya saa 96 baada mwenye nafasi hiyo kuridhia aitumikie. Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic, amekubali Matola apewe nafasi hiyo kuanzia leo Jumatatu hadi Ijumaa asubuhi atakapowasili akitokea kwao Croatia.
Chanzo kimesema hali hiyo inatokana na Logarusic kuchelewa kurejea nchini. “Kweli kocha katuambia atachelewa na nafasi ya ukocha mkuu apewa...

 

11 years ago

GPL

SOKO MATOLA JIJINI MBEYA

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Mbeya wakijipatia mahitaji yao ndani ya soko Matola. PICHA NA RICHARD BUKOS GPL / MBEYA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani