Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOKO MATOLA JIJINI MBEYA

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Mbeya wakijipatia mahitaji yao ndani ya soko Matola. PICHA NA RICHARD BUKOS GPL / MBEYA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SOKO LA MWANJELWA JIJINI MBEYA LATARAJIWA KUFUNGULIWA MEI 2015

Mkandarasi wa soko kuu la Mwanjelwa linaloendelea kujengwa jijini mbeya ndugu,Balwinder Singh kutoka katika kampuni ya (NECCO) amezungumza na Ripota wetu juu ya maendeleo ya soko hilo kubwa lenye zaidi ya maduka 400 ya biashara ndogondogo,Benki mbili na kituo kikubwa cha polisi ambapo amesema soko hilo anatarajia kulikabidhii mwakani (2015) mwezi wa tano.
Akiendelea kuzumza,Mkandarasi huyo amesema kuwa hali ya Ujenzi inaendelea vyema na wapo kwenye hatua za mwisho,hivyo hadi mwezi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City

Hofu, hujuma na kusalitiana imetanda ndani ya ngome ya Mbeya City baada ya jana Mwenyekiti wa Tawi la Mwanjelwa, Wille Matala kutimuliwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchele wa Mbeya hatarini kupoteza soko

Wakati wafanyabiashara wengi wa mchele nchini wakiunadi wa Mbeya kwa ubora, hususan ule wa wilayani Kyela, wataalamu wa ubora wa vyakula wamesema uko hatarini kukosa soko la kimataifa kutokana na kupakwa mafuta.

 

11 years ago

GPL

AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA

Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…

 

11 years ago

GPL

NAPE AJICHANGANYA NA WANANCHI SOKO LA MWANJELWA MBEYA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akila chakula cha mchana kwenye kibanda cha Mama Lishe anayefahamika kama Bi. Tandiwa Tewete kwenye soko la Sido Mwanjelwa mjini Mbeya.    Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikatiza katikati ya soko la Sido Mwanjelwa kwenda kwenye…

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa Mbeya kuendelea tena

Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa la jijini hapa ambao ulisimama kwa karibu mwaka mzima unatarajiwa kuendelea tena mapema mwezi ujao kama jiji litafanikiwa kupata mkopo mwingine kutoka Benki ya CRDB.

 

10 years ago

Michuzi

KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MBEYA CONSTANTINE MUSHI AFUNGUA RASMI SEMINA YA MAAFISA MAZINGIRA JIJINI MBEYA LEO

Mkuu wa Kitengo cha Mazingira, Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Gideon Kasege (kulia) akitoa maelekezo kwa baadhi ya wawasilishaji mada katika mafunzo yanayoshirikisha maafisa mazingira katika mikoa ya Iringa na Mbeya yanayofanyika jijini Mbeya leo. Lengo la mafunzo hayo ni kuwashirikisha mpango kazi wa Wizara ya Nishati na Madini pamoja na kupata michango yao. Kushoto ni Meneja wa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Nyanda za Juu Kusini David Elias. Katikati ni Afisa Mazingira...

 

9 years ago

Michuzi

JIJI LA MBEYA LAJIPANGA KUKUSANYA KODI KATIKA MRADI WA SOKO JIPYA LA MWANJELWA

Kaimu Mkurugenzi jiji la Mbeya Dkt,Samuel Razalo.
 Na EmanuelMadafa, MbeyaHALMASHAURI ya Jiji la Mbeya, imesema imejipanga vyema katika  kuhakikisha  mradi mkubwa wa soko jipya la mwanjelwa unasimamiwa kikamilifu kwa kufuata  taratibu za serikali sanjali na mikataba  iliyoingia na benki ya CRDB  kwa kipindi cha miaka 15.
Mradi  huo wa soko la kimataifa la Mwanjelwa lililopo jijini Mbeya  ujenzi wake imefikia  asilimia 99 hivyo upo katika hatua za mwisho za kukamilika kwake.
Akizungumza  ofisini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani