HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana
Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cwmbHT58lMc/XpatbGYzeDI/AAAAAAALm_o/Hvs9BdltRbIm4rPCvhSCaK_GxoxEcRPLACLcBGAsYHQ/s72-c/7066cc2d-7b52-427b-a960-1944637a0e26.jpg)
WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA
Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
CCM kuchafuana tu
MALUMBANO ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yanayoonekana dhahiri kuchagizwa na makundi ya urais yameendelea kushika kasi ndani ya chama hicho. Baada ya jana Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi,...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...
10 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-4SEH525A0PE/VXqDsxkmWXI/AAAAAAAAWcM/jtX9XGvKkK4/s640/NJ2.jpg)
MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA
9 years ago
Mwananchi11 Oct
HONDOHONDO :Tunapamba hata wasiopambika
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Sheikh akoromea siasa za kuchafuana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4SEH525A0PE/VXqDsxkmWXI/AAAAAAAAWcM/jtX9XGvKkK4/s72-c/NJ2.jpg)
MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA, TUTAUA CHAMA
Makamba ameyasema hayo alipokuwa akiwashukuru wanachama wenzake waliojitokeza kumdhamini ili kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
HONDOHONDO : Magufuli anajijenga yeye, ataumbua wengi
9 years ago
Mwananchi13 Sep
HONDOHONDO : Tuwekewe bayana ufisadi katika Richmond