Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONDOHONDO : Tuwekewe bayana ufisadi katika Richmond

Mwalimu mmoja mstaafu kijijini kwetu akipata fursa ya kuzungumza kwenye mkutano wowote, hupenda kujionyesha kuwa anajua mambo. Basi utasikia akisema “once a teacher always a teacher”, yaani ukishakuwa mwalimu mara moja basi ni mwalimu daima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND — KYELA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo Saidi kubenea

The post SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND – KYELA appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond

Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]

The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

MANGULA AWEKA BAYANA SABABU ZA KUMCHAGUA TENA MAGUFULI

Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bara Mzee Philip Mangula leo tarehe 27 Juni, 2020 pamoja na mambo mengine, ameeleza sababu za kumchagua tena Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika uchaguzi ujao wa Mwezi Oktoba mwaka huu.

Mzee Mangula ameyasema hayo alipokuwa akitoa nasaha kwa makatibu wa wilaya zote nchini katika mafunzo yanayoendelea kwa watendaji hao Makao Makuu ya CCM Dodoma.

"Naamini mnajua kwamba, watakao fanya vibaya sijui...

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO :Tunapamba hata wasiopambika

Hebu niwakumbushe. Mwaka 1981 iliyokuwa Soviet ilipata shida kwenye Umoja wa Mataifa (UN) kuamua nani awe katibu mkuu wa chombo hicho, kati ya mwanadiplomasia wa Austria, Kurt Waldheim aliyekuwa anawania kipindi cha tatu na mwanadiplomasia wa Tanzania, Dk Salim Ahmed Salim.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana

Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.

 

10 years ago

GPL

CHADEMA YASIKITISHWA NA TAARIFA ZA UFISADI KATIKA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014

Upotevu wa shilingi trilioni 1.151 Serikali kuu pekee hauvumiliki. Makusanyo yote yaliyotokana na kuongezeka kwa kodi 2013/14 yameyeyuka CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za ufisadi wa kutisha uliofanyika kwenye matumizi ya fedha za umma kama ilivyobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi wa fedha kwa mwaka 2013/2014 zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

TANGA UWASA YAWEKA BAYANA VISABABISHI VYA BILI KUBWA ZA MAJI



Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) wakiwa kwenye maandamano kuelekea kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani mjini Tanga.Afisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo Devota Mayala kulia akitoa ufafanuzi wa huduma za mamlaka hiyo kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari wakati alipotembelea banda lao kwenye eneo la viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika eneo hilo.Sehemu ya...

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa

je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani