MANGULA AWEKA BAYANA SABABU ZA KUMCHAGUA TENA MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V08HwDicEyc/XvebBtVI1TI/AAAAAAALvtM/UhMJ2wW8V9QTiSTdG4ZuWXDtGrqHwgX4gCLcBGAsYHQ/s72-c/e4098ad780dd72e4111ec8340c4f4293.jpg)
Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bara Mzee Philip Mangula leo tarehe 27 Juni, 2020 pamoja na mambo mengine, ameeleza sababu za kumchagua tena Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika uchaguzi ujao wa Mwezi Oktoba mwaka huu.
Mzee Mangula ameyasema hayo alipokuwa akitoa nasaha kwa makatibu wa wilaya zote nchini katika mafunzo yanayoendelea kwa watendaji hao Makao Makuu ya CCM Dodoma.
"Naamini mnajua kwamba, watakao fanya vibaya sijui...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLSABABU 5 ZA KUMCHAGUA MAGUFULI HIZI HAPA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12106790_902665553133518_4158826077698818347_n1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3qTifbjMC2o/default.jpg)
9 years ago
Bongo511 Nov
Nahreel aweka wazi sababu halisi ya kutengana na kundi la Pah One
![pah-one](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/08/pah-one-200x111.jpeg)
Wote tunafahamu kuwa Nahreel na Aika walitokea kwenye kundi la muziki la Pah One, na baada ya kujitoa ndio wakapata wazo la kuanzisha kundi lao wenyewe ambalo ndio Navy Kenzo.
Pah One kabla ya kutengena
Baada ya kuanzisha Navy Kenzo, Nahreel na Aika ambao pia ni couple wamekuwa wakikutana na maswali mengi kuhusu kilichosababisha kuondoka Pah One, lakini hawakuwahi kuitaja sababu halisi.
Kupitia kipindi cha Mkasi, Nahreel ambaye ndiye alikuwa mgeni wa wiki hii alitumia muda huo pia kuitaja...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Utafiti Twaweza waibeba CCM, asilimia 65 kumchagua Magufuli
10 years ago
Bongo530 Sep
Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Diamond aweka historia tena Dar Live
Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo
Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.
Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.
Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.
Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.
Diamond akiwachombeza mashabiki.
Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume.
Akiongea na mashabiki.
Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.
Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki...
5 years ago
The Citizen Daily01 Mar
President John Magufuli visits hospitalised Mangula
9 years ago
Habarileo09 Sep
Magufuli aweka rekodi
MAELFU ya watu wanaokwenda katika mikutano ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli imeanza kusimamisha shughuli za miji mbalimbali anayokwenda.