Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONDOHONDO :Tunapamba hata wasiopambika

Hebu niwakumbushe. Mwaka 1981 iliyokuwa Soviet ilipata shida kwenye Umoja wa Mataifa (UN) kuamua nani awe katibu mkuu wa chombo hicho, kati ya mwanadiplomasia wa Austria, Kurt Waldheim aliyekuwa anawania kipindi cha tatu na mwanadiplomasia wa Tanzania, Dk Salim Ahmed Salim.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Hata Marekani ilikuwapo ‘CCM’, ikafa

je, wajua kuwa kuna vyama vya siasa Marekani, Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na kwingineko duniani viliwahi kushamiri na kutoa ama marais au waziri mkuu au chansela, lakini baadaye vilikataliwa na wananchi na vikafa?

 

10 years ago

Mwananchi

Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema Katiba Inayopendekezwa imebeba mambo yote muhimu na hata kama yakifanyika maandamano nchi nzima haitabadilishwa hata nukta.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana

Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Magufuli anajijenga yeye, ataumbua wengi

Sitaki umbea wala kuumbua watu. Miaka yote zikifanyika sherehe za Uhuru na nyinginezo, wasomi, wanasiasa na wananchi wa kawaida wamekuwa wakisifu maandalizi yake na kwamba zimefana. Hawakosoi.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Tuwekewe bayana ufisadi katika Richmond

Mwalimu mmoja mstaafu kijijini kwetu akipata fursa ya kuzungumza kwenye mkutano wowote, hupenda kujionyesha kuwa anajua mambo. Basi utasikia akisema “once a teacher always a teacher”, yaani ukishakuwa mwalimu mara moja basi ni mwalimu daima.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini

>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaah”.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : CCM yasubiriwa Dodoma kukata jongoo kwa meno

Wiki ijayo ni ya CCM “kukata jongoo kwa meno” ili kuzima makundi ya watu yanayofuatafuata wanasiasa fulani wanaojiita waheshimiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani