Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tulia: Nitafanya kazi bila upendeleo

MGOMBEA nafasi ya Naibu Spika wa Bunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson amesema akichaguliwa kushika wadhifa huo atafanya kazi kwa kufuata kanuni na hataegemea upande wa serikali kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

AG Zanzibar: Nitafanya kazi bila woga wala upendeleo

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Said Hassan Said amesema atahakikisha anatekeleza majukumu yake bila ya woga wala upendeleo, ikiwamo kazi ya kumshauri Rais wa Zanzibar na Serikali yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Kulipwa bila kazi ni dhuluma na ufisadi

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kiuchumi tunaweza kusema inafaida ya nguvu kazi yaani population bonus.

 

9 years ago

Habarileo

CCM Songea yataka kazi bila mazoea

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Songea mkoani Ruvuma, kimewataka watumishi wa Serikali kufanya kazi kikamilifu ili kuharakisha maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure

SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...

 

10 years ago

Bongo5

Bila kazi ya ziada ukitegemea muziki unaweza kuumbuka town — Stereo

Rapper Stereo amedai kuwa muziki wa Tanzania ni mgumu kiasi kwamba kama msanii hana shughuli zingine za kujiingizia kipato anaweza kuumbuka. Stereo ameambia Bongo5 kuwa licha ya kutangaza kujikita zaidi kwenye kufanya muziki baada ya kumaliza masomo yake, amegundua kuwa muziki hauwezi kuwa tegemeo la wasanii. “Ni kweli nimeongeza muda wangu zaidi kwenye muziki, ambao […]

 

9 years ago

Mwananchi

Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kuwa na mabadiliko ya kweli, kama miiko na maadili ya viongozi havitaingizwa kwenye Katiba Mpya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mpinga awaagiza madiwani wa Mkalama kufanya kazi na serikali za vijiji bila ubaguzi wa vyama

DSC03886

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha kawaida cha madiwani wa halmashauri hiyo. Mwenyekiti James, aliwataka madiwani kufanya kazi kwa karibu na serikali mpya za vijiji bila kujali za chama gani cha siasa.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoani Singida, James Mpinga, ameagiza madiwani kufanya kazi na serikali za vijiji zilizochaguliwa kwenye uchaguzi uliopita bila kujali...

 

10 years ago

GPL

BELLA: NITAFANYA VITU VYA UKWELI

MFALME wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ Jumatatu ya wiki hii alitua katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere,Dar akitokea nchini Sweden na kuweka wazi kuwa amerudi nyumbani rasmi. Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Bella aliyekuwepo Sweden kwa mambo yake binafsi, aliwaambia mashabiki wake watarajie vitu vipya kwa kuwa alikuwa nje ya nchi kwa muda mrefu na aliwamisi sana. “Nimerudi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Miriam Mawira alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanya kazi zake

Miriam Mawira : alizaliwa bila mikono, hutumia miguu yake kufanikisha kazi zake, changamoto hiyo si kikwazo kwake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani