Waathirika mabomu ya Mbagala waishinda Serikali mahakamani
>Waathirika wa mabomu yaliyolipuka Mbagala na kusababisha vifo na uharibifu mkubwa wa mali za wananchi, wameibwaga Serikali mahakamani baada ya kushinda pingamizi la Serikali dhidi ya kesi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Sep
Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu
ZAIDI ya waathirika 1,000 milipuko ya mabomu Mbagala, wameomba Serikali kuingilia kati na kuwasaidia, ili wapate fidia inayostahili kutokana na mali na vitu vyao vilivyoharibiwa wakati wa mlipuko huo Aprili 2009.
10 years ago
BBCSwahili13 Sep
Waathiriwa wa mabomu Mbagala walalama
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Barcelona waishinda Juventus 3-1
11 years ago
GPLWATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
10 years ago
StarTV10 Jan
Serikali lawamani kuchelewesha ugawaji viwanja kwa waathirika wa mafuriko.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Zaidi ya waathirika 200 wa mafuriko yaliyotokea Januari mwaka jana wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kupima na kuwagawia viwanja kwa wakati hali ambayo imewafanya washindwe kujenga makazi ya kudumu na kuondokana na adha ya kukaa kwenye mahema ambayo sasa yamechakaa.
Malalamiko hayo yanakuja kutokana na mvua kuanza kunyesha wakati mahema yakiwa yamechanika na mvua kuwanyeshea hali ambayo inawafanya waishi katika...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Serikali itegue kitendawili cha mabomu Arusha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bV5TLPf6gKI/Xl8kZlbjkHI/AAAAAAALg08/_GbB1xXKS5Ya8Rt86f8R8LvcACKi1GzMwCLcBGAsYHQ/s72-c/a6b16264-ff51-47a9-81a4-548ac0ff74f3.jpg)
SERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...
5 years ago
MichuziSERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Serikali kuburuzwa mahakamani
ILIKWISHASEMWA na kufafanuliwa kwa kina; kwamba mkataba wa kitapeli wa miaka 20 kati ya kampuni y
Joseph Mihangwa