Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagonjwa walalama uhaba wa dawa, huduma duni

Mikoani. Uhaba wa dawa unaozikabili hospitali mbalimbali za Serikali nchini, umesababisha kilio kutoka kwa wagonjwa ambao wamekuwa wakifika kutafuta tiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walalama kuuziwa dawa feki

WAKULIMA kutoka maeneo ya Mbinga, Mpanda, Kigoma na Bukoba wameilalamikia Wizara ya Kilimo na Chakula kwa kuwaruhusu baadhi ya wafanyabiashara kuuza dawa feki za kilimo. Wakizungumza na waandishi wa habari...

 

11 years ago

Mwananchi

Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar

Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Kidongochekundu, wamekuwa wakipewa mlo mmoja kwa siku katika kipindi cha mwaka mmoja na wakati mwingine kulala giza kutokana na Wizara ya Afya Zanzibar kushindwa kutoa fedha za matumizi kwa muda mwafaka, imefahamika visiwani humu jana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mpuya: Dodoma haina uhaba wa dawa

MGANGA Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Dk. Ezekiel Mpuya amesema pamoja na Bohari Kuu ya Dawa (MSD), kusitisha kutoa dawa kwa Serikali lakini mkoa hauna uhaba....

 

10 years ago

Mwananchi

‘Boxpedia’ dawa ya uhaba wa walimu wa sayansi

>Alipojiunga na Shule ya Sekondari ya Lumuli iliyopo  mkoani Iringa,   Ombeni Sanga alikuwa na matarajio makubwa ya kusoma masomo ya sayansi, ili baadaye aje kuwa mvumbuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Huduma za dharura ni duni Tanzania

Mamlaka zinazohusika zimeeleza kutokuwa na vitendea kazi na wananchi kuwa na elimu duni kuhusu majanga

 

10 years ago

Michuzi

FAFANUZI KUHUSU UHABA WA DAWA MUHIMU NA VIFAA TIBA



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMI.
Kuna taarifa katika vyombo vya habarii liyotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la SIKIKA ,kwamba serikali haijalipa kiasi cha shilingi bilioni 90 kwa bohari  kuu ya dawa  na kusababishia ukosefu  dawa katika baadhi ya hospitali.
Ni kweli bohari kuu ya dawa imepungukiwa fedha za kununulia dawa , lakini sio kwa kiasi cha kushindwa kutoa huduma kabisa  kama inavyoelezwa.  Kiasi cha pesa kinachotajwa  si kigeni na serikali imekua...

 

10 years ago

Mwananchi

Uhaba wa dawa, vifaa tiba mzigo kwa Serikali

Suala la uhaba wa dawa na vifaa tiba katika hospitali nchini ikiwamo Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, limeonekana kuielemea Wizara ya Afya baada ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuthibitisha, huku akidai kuwa Serikali itapeleka fedha kwa awamu Bohari ya Kuu ya Dawa ili kupunguza uhaba huo.

 

9 years ago

StarTV

Wagonjwa vituo vya afya Tanga kutumia mashuka yao kutokana na uhaba wa mashuka

Uhaba wa mashuka katika vituo vya afya mkoani Tanga umesababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi jambo ambalo halikubaliki kiafya.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza amekiri kuwepo kwa tatizo hilo ambalo limekuwa likisababisha usumbufu kwa wagonjwa wanaohudumiwa katika vituo hivyo.

Mahiza amesema hayo wakati akipokea msaada wa mashuka kutoka Mfuko wa Bima ya Afya NHIF kwa ajili ya kukabiliana na tatizo hilo katika mkoa wa Tanga.

 Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga inajumla ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo

Lishe asili na chakula ambacho hakijapitia viwandani inaimarisha siha yawagonjwa waliopatwa na mshtuko wa moyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani