Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huduma za dharura ni duni Tanzania

Mamlaka zinazohusika zimeeleza kutokuwa na vitendea kazi na wananchi kuwa na elimu duni kuhusu majanga

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Changamoto za utoaji wa huduma za dharura

Huduma ya kwanza huchangia pakubwa katika uokoaji wa maisha ya binadamu haswa wakati wa majanga.Tumezungumza na mhudumu mmoja

 

10 years ago

Habarileo

Huduma za dharura za ajali kuanza punde

WIZARA ya Afya imesema kitengo cha kutoa huduma za dharura kwa watu wanaopatwa na ajali za barabarani kinatazamiwa kuanza kazi mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa jengo la kisasa lililopo jirani na hospitali ya Mnazi Mmoja.

 

10 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walalama uhaba wa dawa, huduma duni

Mikoani. Uhaba wa dawa unaozikabili hospitali mbalimbali za Serikali nchini, umesababisha kilio kutoka kwa wagonjwa ambao wamekuwa wakifika kutafuta tiba.

 

11 years ago

Dewji Blog

Huduma za dharura kwa wazazi Kibiti zaokoa maisha ya mama na mtoto

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.

Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa huduma za dharura kwa wajawazito katika Kituo cha Afya Kibiti.

Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa...

 

11 years ago

GPL

HUDUMA ZA DHARURA KWA WAZAZI KIBITI ZAOKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO‏

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo. Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea… ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji

Mamilioni ya raia wa Nigeria wanaishi katika maisha duni kupita kiasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Matibabu duni navyopoteza vipaji vya wanasoka wa Tanzania

Kuumia kwa wanamichezo michezoni ni jambo la kawaida, lakini matatizo hayo huwa yanatofautiana kulingana natukio husika na ndiyo maana ni lazima wawepo watu wa huduma ya kwanza (Ffirst Aaid) kwa ajili ya kumpatia

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa leo Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika Mkutano wa dharura wa...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA, DUNI WASAINI HATI YA KIAPO YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA KUU JIJINI DAR LEO

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisaini fomu za hati ya Kiapo kwenye ofisi za Jaji wa Mahakama ya Tanzania, Jijini Dar es salaam leo Agosti 19, 2015. Hati ambayo kila mgombea wa nafasi ya urais anatakiwa kusaini katika mahakama kuu jijini Dar es Salaam .Mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani