Changamoto za utoaji wa huduma za dharura
Huduma ya kwanza huchangia pakubwa katika uokoaji wa maisha ya binadamu haswa wakati wa majanga.Tumezungumza na mhudumu mmoja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
‘Tekinolojia changamoto utoaji huduma za Posta’
SERIKALI imesema mabadiliko ya mazingira ya mawasiliano kwa njia ya Tekinolojia imeleta changamoto katika utoaji wa huduma za Posta kwa umma. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana kwa Niaba ya...
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Huduma za dharura ni duni Tanzania
10 years ago
Habarileo12 Mar
Huduma za dharura za ajali kuanza punde
WIZARA ya Afya imesema kitengo cha kutoa huduma za dharura kwa watu wanaopatwa na ajali za barabarani kinatazamiwa kuanza kazi mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa jengo la kisasa lililopo jirani na hospitali ya Mnazi Mmoja.
10 years ago
VijimamboMISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA
Na Mwandishi wetuMaafisa habari mbalimbali kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa kutoa taarifa kwa wananchi.Kongamano hilo linafuatia matokeo ya utafiti...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
PSPF yajivunia miaka 15 ya utoaji huduma
MFUKO wa Pensheni wa PSPF ulianzishwa kwa sheria ya mafao ya hitimisho la kazi kwa watumishi wa umma namba 2 ya mwaka 1999. Tangu kuanzishwa kwake hadi mwaka 2008 PSPF...
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Huduma za dharura kwa wazazi Kibiti zaokoa maisha ya mama na mtoto
![Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0216.jpg)
Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.
![Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0177.jpg)
Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.
![Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa huduma za dharura kwa wajawazito katika Kituo cha Afya Kibiti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0163.jpg)
Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0216.jpg)
HUDUMA ZA DHARURA KWA WAZAZI KIBITI ZAOKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/eSLaHeYShec/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Cc0InBfyVJ0/XvebnuK01AI/AAAAAAALvtY/oRePEI_VlPUZGmXcpqvno2DNn6mUqo-CQCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Hospitali ya Mirembe yaboresha utoaji wa huduma za afya
Huduma kuanza saa 1:00 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi
Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imefanya mabadiliko katika utoaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wa nje, ambapo muda wa kuanza kutoa matibabu ni saa moja asubuhi badala ya saa mbili asubuhi.
Lengo la uongozi wa hospitali kufanya mabadiliko hayo ni kuboresha huduma za afya ili kuwezesha watu mbalimbali kupata huduma za matibabu mapema zaidi na kwa wakati.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili...