Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUDUMA ZA DHARURA KWA WAZAZI KIBITI ZAOKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO‏

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo. Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Huduma za dharura kwa wazazi Kibiti zaokoa maisha ya mama na mtoto

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.

Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa huduma za dharura kwa wajawazito katika Kituo cha Afya Kibiti.

Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO

Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Iddi Hassan Kimanta kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi huduma ya Option B Plus Mkoani Rukwa jana tarehe 07 Juni, 2014 katika Kijiji cha Tamasenga Wilayani Sumbawanga. Huduma hiyo ina lengo la kutoa tiba ya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto mchanga. Kaulimbiu ya huduma hiyo ikiwa "Amka Sasa Tokomeza VVU kwa Watoto, Kama mjamzito Pima VVU kwa maisha Bora,...

 

11 years ago

GPL

MAMA MKUBWA WA MTOTO ALIYEUNGUA MOTO ATOWEKA NA MTOTO HUYO KUSIKO JULIKANA.‏

Huyu ndiye Mama mkubwa wa mtoto Adolotea Nyavike Bi. Salome Kiegu(35) ambaye ametoweka na mtoto huyo kusiko julikana wakati wasamalia wema wakitaka kutoa misaada kwa nototo huyo. Mtoto Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili…

 

11 years ago

Mwananchi

‘Huduma ya mama, mtoto ni changamoto’

 Huduma za afya ya mama na mtoto zimeelezwa kuwa na maendeleo hafifu ikilinganishwa na huduma nyingine za afya zilizo chini ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDG) ya mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAOTI MTOTO WAO‏

Wazazi wa Miss Tanzania 2O13, Happiness Watimanywa akiongozwa na baba yake wa Tatu kutoka kushoto pamoja na mama yake wa Tatu kutoka kulia wakiwa wameambatana na wadogo wa Miss Tanzania 2O13 pamoja na marafiki wengine wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere katika hatua za mwisho kabla ya kusafiri mchana wa jana kuelekea Jijini London kwenye kilele cha Mashindano ya Miss World 2O14 yakakayohitimishwa tarehe...

 

10 years ago

Michuzi

Changia mafunzo ya wakunga, okoa maisha ya mama na mtoto - Amref health africa

Mkurugenzi mkazi wa Amref Health Africa Dkt. Festus  Ilako akizungumzia maendeleo ya kampeni hiyo toka ilipozinduliwa mwaka 2011 na  uwatangaza mabalozi wapya wawili wa kampeni hiyo kuwa ni wasanii mashuhuri, Banana Zoro na Mwasiti Almasi  Nchini Tanzania, wanawake 7,900 hupoteza maisha kila mwaka wakati wa kujifungua. Zaidi ya asilimia 80 ya vifo hivi vingeweza kuepukika endapo wahudumu wa afya  wenye utaalamu wangetoa huduma kwa wakina mama wajawazito wakati wa kujifungua.  Kwa kuamini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani