‘Tekinolojia changamoto utoaji huduma za Posta’
SERIKALI imesema mabadiliko ya mazingira ya mawasiliano kwa njia ya Tekinolojia imeleta changamoto katika utoaji wa huduma za Posta kwa umma. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana kwa Niaba ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Changamoto za utoaji wa huduma za dharura
11 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Posta kuendelea kuboresha huduma
SHIRIKA la Posta Tanzania limewaomba watumiaji na wananchi kwa ujumla waendelee kuwa na imani na huduma za posta. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho...
11 years ago
BBCSwahili14 Oct
Huduma za Posta zarejeshwa Somalia
11 years ago
VijimamboMISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA
Na Mwandishi wetuMaafisa habari mbalimbali kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa kutoa taarifa kwa wananchi.Kongamano hilo linafuatia matokeo ya utafiti...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Shirika la Posta lajipanga kupanua wigo wa huduma
KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Posta Duniani (UPU) mtandao wa mawasiliano kwa njia ya Posta unajumuisha ofisi za posta 660,000 zenye uwezo wa kusambaza wastani wa...
10 years ago
Dewji Blog14 May
Singida wasogezewa karibu huduma ya Benki ya Posta Tanzania
Mwenyekiti wa Benki ya Posta nchini, Lettice Rutashobya (kulia) akimkabuidhi kadi ya benki Mwenyekiti wa mtaa wa Majengo mjini Singida, Stamili Shomari baada ya kupewa offer na benki hiyo kufungua akaunti.
Na Nathaniel Limu, Singida
BENKI nyingi nchini zimeacha utamaduni wa kuwanufaisha wateja wake kwa kuwapatia riba nzuri, na badala yake zimejikita zaidi katika kuwakata gharama kubwa ya uendeshaji,kitendo kinachochangia Watanzania wengi kuogopa kuhifadhi fedha zao...
11 years ago
GPL
PSPF, BENKI YA POSTA WAZINDUA HUDUMA YA MKOPO KWA WASTAAFU
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
PSPF yajivunia miaka 15 ya utoaji huduma
MFUKO wa Pensheni wa PSPF ulianzishwa kwa sheria ya mafao ya hitimisho la kazi kwa watumishi wa umma namba 2 ya mwaka 1999. Tangu kuanzishwa kwake hadi mwaka 2008 PSPF...
5 years ago
Michuzi
Hospitali ya Mirembe yaboresha utoaji wa huduma za afya
Huduma kuanza saa 1:00 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi
Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imefanya mabadiliko katika utoaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wa nje, ambapo muda wa kuanza kutoa matibabu ni saa moja asubuhi badala ya saa mbili asubuhi.
Lengo la uongozi wa hospitali kufanya mabadiliko hayo ni kuboresha huduma za afya ili kuwezesha watu mbalimbali kupata huduma za matibabu mapema zaidi na kwa wakati.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili...