Singida wasogezewa karibu huduma ya Benki ya Posta Tanzania
Mwenyekiti wa Benki ya Posta nchini, Lettice Rutashobya (kulia) akimkabuidhi kadi ya benki Mwenyekiti wa mtaa wa Majengo mjini Singida, Stamili Shomari baada ya kupewa offer na benki hiyo kufungua akaunti.
Na Nathaniel Limu, Singida
BENKI nyingi nchini zimeacha utamaduni wa kuwanufaisha wateja wake kwa kuwapatia riba nzuri, na badala yake zimejikita zaidi katika kuwakata gharama kubwa ya uendeshaji,kitendo kinachochangia Watanzania wengi kuogopa kuhifadhi fedha zao...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Hospitali ya Mkoa Singida yapigwa tafu ya mashuka na benki ya Posta nchini
Meneja wa benki ya Posta tawi la Singida, Redenoter Rweyemamu, akizungumza kwenye hafla ya benki hiyo kutoa msaada wa shuka 104 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili, kwa hospitali ya mkoa mjini hapa, inayokabiliwa na uhaba wa shuka na kusababisha wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi kitendo ambacho ni kinyume na taratibu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MABATI 100 KUSAIDIA KUPAUA SHULE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (wa nne kutoka kushoto) moja ya bati kati ya 100 yaliyotolewa mwishoni mwa wiki na benki hiyo kwa ajili ya kupaua madarasa ya shule mkoani humo. Kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda, Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu. Wengine ni Wenyeviti wa Vikundi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQUKt76SdYmIE34ekKQ1ZcNpod8AIpjKotOkbT96ssBEvK6Ygpm0JiJRAr1PvqXIOXaQuHceCx3-THEIcVC75fW/AdamMayingu.jpg?width=650)
PSPF, BENKI YA POSTA WAZINDUA HUDUMA YA MKOPO KWA WASTAAFU
11 years ago
GPLWAKAZI WA KINONDONI WASOGEZEWA ZAIDI HUDUMA ZA MAWASILIANO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pAIFreREagc/ViCw69T9MYI/AAAAAAAAbSI/8FfKVjr2Km4/s72-c/0023.jpg)
BENKI YA POSTA YABORESHA ZAIDIN HUDUMA ZAKE, MTEJA ATATOA MAONI BILA KUANDIKA KWENYE KARATASI, NI "KUBOVYA TU" KWENYE MASHINEAKATHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-pAIFreREagc/ViCw69T9MYI/AAAAAAAAbSI/8FfKVjr2Km4/s640/0023.jpg)
NA K-VIS MEDIA
KATIKA kuhakikisha inatoa huduma bora kwa wateja wake hapa nchini, Benki ya Posta Tanzania, imeweka mashine maalum ambayo wateja wa benki hiyo wanaofika kupatiwa huduma watatoa...
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9tLGlPLNoGM/U13xKXuKCsI/AAAAAAAATa0/zjb5Dl3ZQcA/s72-c/YBY_8051.jpg)
BENKI YA POSTA TANZANIA YATOA MSAADA VITU MBALIMBALI KWA WODI YA WATOTO WENYE MAGONJWA YA SARATANI MUHIMBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tLGlPLNoGM/U13xKXuKCsI/AAAAAAAATa0/zjb5Dl3ZQcA/s1600/YBY_8051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AxK_2AroDg8/U13xKXtE5zI/AAAAAAAATaw/hDpUlT9b1Fk/s1600/YBY_8058.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s72-c/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BENKI YA POSTA TANZANIA (KUFUTA NA KUWEKA MASHARTI YA MPITO), 2015 (THE TANZANIA POSTAL BANK {REPEAL AND TRANSITIONAL PROVISION} ACT, 2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s640/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vJSIy1Pqgjo/U7uU8hmEjJI/AAAAAAAFxK0/uv4d2CTrQpY/s72-c/5.jpg)
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA HUDUMA MBALIMBALI MAONESHO YA SABA SABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vJSIy1Pqgjo/U7uU8hmEjJI/AAAAAAAFxK0/uv4d2CTrQpY/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGVUpPsN1NA/U7uU7Lj7vaI/AAAAAAAFxKk/WK24NqoEFS4/s1600/1.jpg)