PSPF yajivunia miaka 15 ya utoaji huduma
MFUKO wa Pensheni wa PSPF ulianzishwa kwa sheria ya mafao ya hitimisho la kazi kwa watumishi wa umma namba 2 ya mwaka 1999. Tangu kuanzishwa kwake hadi mwaka 2008 PSPF...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yasheherekea miaka 17 ya utoaji huduma na wateja wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-6CvHmGIn9Vc/U_GnCKfB3pI/AAAAAAACnk4/g25NPSfZPmU/s1600/17th%2BANN%2BPIX%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s72-c/_MG_1131.jpg)
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s640/_MG_1131.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GPMVNxH70Vc/VbiRMMNFGLI/AAAAAAAHsb4/0leXLRBS5cE/s1600/_MG_1137.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Wizara yajivunia mafanikio huduma za afya nchini
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imejivunia mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika kipindi cha serikali ya awamu ya nne katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini.
Mafanikio hayo ni pamoja na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano, kushuka kiwango cha maambukizi ya malaria na kudhibiti maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi (VVU).
Akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano wa waganga wakuu wa wilaya...
10 years ago
Mtanzania16 Mar
Tanzania yajivunia miaka 20 ya‘Beijing’
Na Mwandishi Maalum, New York
USHIRIKI wa askari wanawake katika operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa (UN) ni baadhi ya mafanikio ambayo Tanzania inajivunia miaka 20 baada ya mkutano wa historia wa wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba aliyasema hayo juzi alipotoa tathmini na changamoto za utekelezaji wa maazimio muhimu yaliyofikiwa katika mkutano huo wa wanawake.
Waziri Simba ameongoza ujumbe wa Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio
WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/nmb-1.jpg)
NMB YAJIVUNIA MIAKA 10 YA MAFANIKIO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/115.jpg)
STAR TIMES YAJIVUNIA MABORESHO YA HUDUMA ZAKE KWA WATEJA
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Changamoto za utoaji wa huduma za dharura
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
Bodi ya Mikopo yajivunia miaka 10 ya ufanisi wake
Bw. Cosmas Mwaisobwa (katikati), Mkurugenzi Msaidizi (Habari, Elimu na Mawasiliano) wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) akiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam (Ijumaa, Agosti 14, 2015). Wengine ni Bw. Omega Ngole, Meneja kutoka HESLB na Bi. Fatma Salum (kulia), Afisa Habari kutoka Idara ya Habari (MAELEZO). (Picha na HESLB).
Na Mwandishi Wetu
Idadi ya wanafunzi wanaopata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongezeka kutoka 42,729...