Tanzania yajivunia miaka 20 ya‘Beijing’
Na Mwandishi Maalum, New York
USHIRIKI wa askari wanawake katika operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa (UN) ni baadhi ya mafanikio ambayo Tanzania inajivunia miaka 20 baada ya mkutano wa historia wa wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba aliyasema hayo juzi alipotoa tathmini na changamoto za utekelezaji wa maazimio muhimu yaliyofikiwa katika mkutano huo wa wanawake.
Waziri Simba ameongoza ujumbe wa Tanzania...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-edoAFvP6e0E/VElGSj22d2I/AAAAAAAGtCI/UJykBX6mTNw/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA KATI YA TANZANIA NA CHINA HUKO BEIJING
![](http://4.bp.blogspot.com/-edoAFvP6e0E/VElGSj22d2I/AAAAAAAGtCI/UJykBX6mTNw/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwHJV8ecrug/VElGShs9qCI/AAAAAAAGtCM/xm8iyW_UIOU/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/nmb-1.jpg)
NMB YAJIVUNIA MIAKA 10 YA MAFANIKIO
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio
WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
PSPF yajivunia miaka 15 ya utoaji huduma
MFUKO wa Pensheni wa PSPF ulianzishwa kwa sheria ya mafao ya hitimisho la kazi kwa watumishi wa umma namba 2 ya mwaka 1999. Tangu kuanzishwa kwake hadi mwaka 2008 PSPF...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
sherehe za miaka 50 ya Muungano zafana jijini Beijing, China
![](http://1.bp.blogspot.com/-GNojRQF30V8/U10kihrEcvI/AAAAAAAFdfI/ES9OikeANeA/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqNS9WD7WDw/U10kjdZHGoI/AAAAAAAFdfM/5r9diyd6t78/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ijz3Wx41alQ/U10kj6Z_QsI/AAAAAAAFdfQ/YrNeEdWlwUw/s1600/unnamed+(24).jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Aug
Bodi ya Mikopo yajivunia miaka 10 ya ufanisi wake
Bw. Cosmas Mwaisobwa (katikati), Mkurugenzi Msaidizi (Habari, Elimu na Mawasiliano) wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) akiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam (Ijumaa, Agosti 14, 2015). Wengine ni Bw. Omega Ngole, Meneja kutoka HESLB na Bi. Fatma Salum (kulia), Afisa Habari kutoka Idara ya Habari (MAELEZO). (Picha na HESLB).
Na Mwandishi Wetu
Idadi ya wanafunzi wanaopata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongezeka kutoka 42,729...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1GjYjFC65qA/VP6c5MTjH_I/AAAAAAAHJPQ/3b0AuwIu3dI/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
MIAKA 20 BAADA YA BEIJING WANAWAKE WAMEPIGA HATUA-BAN KI MOON
![](http://4.bp.blogspot.com/-1GjYjFC65qA/VP6c5MTjH_I/AAAAAAAHJPQ/3b0AuwIu3dI/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO ZAFANYIKA MJINI BEIJING, CHINA