MIAKA 20 BAADA YA BEIJING WANAWAKE WAMEPIGA HATUA-BAN KI MOON
![](http://4.bp.blogspot.com/-1GjYjFC65qA/VP6c5MTjH_I/AAAAAAAHJPQ/3b0AuwIu3dI/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akifungua Mkutano wa 59 wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hadhi ya Wanawake ( CSW), Mkutano huu wa wiki mbili ulioanza siku ya jumatatu, unafanyika ikiwa ni miaka 20 tangu kufanyika kwa mkutano wa kihistoria wa wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995. Mkutano huo uliokuwa chini ya Ukatibu Mkuu wa Dr. Gertrude Mongella, uliweka misingi mbalimbali iliyolenga katika kusimamia na kutetea haki mbalimbali za mwanamke zikiwamo za usawa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING
![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ekWkQiAtkiA/Ux6qd8YyeHI/AAAAAAAFS1k/lJ22I4OnIfQ/s72-c/582355+(1).jpg)
BAN KI MOON AWACHAGIZA WANAWAKE KUENDELEA KUTETEA FURSA SAWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ekWkQiAtkiA/Ux6qd8YyeHI/AAAAAAAFS1k/lJ22I4OnIfQ/s1600/582355+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74170000/jpg/_74170569_021804091.jpg)
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
10 years ago
BBCSwahili01 May
Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Ban Ki Moon akemea machafuko, Nigeria
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zgLXgqLqkEY/VUPF3U7-D3I/AAAAAAAHUgI/-M_e2DSmKao/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
BAN KI MOON SALUTES PRESIDENT KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-zgLXgqLqkEY/VUPF3U7-D3I/AAAAAAAHUgI/-M_e2DSmKao/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
“You’re Excellency,
I am Pleased to offer you and the Government and people of the United Republic of Tanzania my warmest congratulations on the occasion of the Union This year marks the 70th anniversary of the United Nations,...