Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIAKA 20 BAADA YA BEIJING WANAWAKE WAMEPIGA HATUA-BAN KI MOON

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akifungua Mkutano wa 59 wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hadhi ya Wanawake ( CSW), Mkutano huu wa wiki mbili ulioanza siku ya jumatatu, unafanyika ikiwa ni miaka 20 tangu kufanyika kwa mkutano wa kihistoria wa wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995. Mkutano huo uliokuwa chini ya Ukatibu Mkuu wa Dr. Gertrude Mongella, uliweka misingi mbalimbali iliyolenga katika kusimamia na kutetea haki mbalimbali za mwanamke zikiwamo za usawa wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana kwa Ishara na Baadhi ya wajumbe wa Kongamano la Wanawake katika kutekeleza  ushauri wa Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.  Ummy Mwalimu kuhusu  tahadhari  dhidi ya Virusi vya Ugonjwa wa  Corona, alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Hyatt Regency Jijini Dar es salaam leo March 04,2020 kwa ajili ya kufungua Kongamano la kuadhimisha na kusherehekea siku ya Wanawake Duniani...

 

11 years ago

Michuzi

BAN KI MOON AWACHAGIZA WANAWAKE KUENDELEA KUTETEA FURSA SAWA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akifungua mkutano wa 58 wa Kamisheni kuhusu Hali ya Wanawake ( CSW) Mkutano huu wa wiki mbili unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, na unawakutanisha wanawake wa kada mbalimbali kutoka Serikali Kuu na Asasa za Kiraia. Akifungua mkutano, Katibu Mkuu, pamoja na mambo mengine amewataka wanawake kuendelea kutetea fursa za kijinsia, kupinga ubaguzi wa aina zote na kuhakikisha kwamba sauti ya wanawake na watoto wa kike inaendele...

 

10 years ago

Michuzi

BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO

Na Mwandishi Maalum, New York.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...

 

11 years ago

BBC

Viewpoint: CAR needs help - Ban Ki-Moon

UN chief says CAR 'must not become another Rwanda'

 

9 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon ziarani Nigeria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon amewasili jana nchini Nigeria kuanza ziara ya siku mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameelezea tahadhari yake kuhusiana na hatari ya raia kuendelea kupigana, Nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon akemea machafuko, Nigeria

Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon amekemea machafuko yanayoendelea nchini Nigeria

 

10 years ago

Dewji Blog

Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari

Ethiopia UN Ebola

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.

Na Mwandishi wetu

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.

Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.

Kauli hiyo inakuja baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

BAN KI MOON SALUTES PRESIDENT KIKWETE

The following is a congratulatory message from Ban Ki Moon, Secretary General of the United Nations to H.E. Jakayla Mish Kikwete, President of the United Republic of Tanzania on the occasion of the Union Day which was cerebrated of 26 April 2015.
“You’re Excellency,
I am Pleased to offer you and the Government and people of the United Republic of Tanzania my warmest congratulations on the occasion of the Union This year marks the 70th anniversary of the United Nations,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani