Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huduma za dharura za ajali kuanza punde

WIZARA ya Afya imesema kitengo cha kutoa huduma za dharura kwa watu wanaopatwa na ajali za barabarani kinatazamiwa kuanza kazi mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa jengo la kisasa lililopo jirani na hospitali ya Mnazi Mmoja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZZ:TUKIO LA AJALI MIKESE HIVI PUNDE.

Chumba cha habari cha Globu ya Jamii hivi punde kimearifiwa na kutumiwa picha za tukio la ajali eneo la Mikese na Mdau Martin Mnyenyelwa,lakini hakutufahamisha kuhusiana na athari ya ajali hiyo akiwa kama shuhuda wa tukio hilo. Kulingana na tukio ya taarifa hii kuwa nyembamba,basi tuvute subira tutajuzana kadiri ya zitakavyokuwa zikiiingia kwenye chumba chetu cha habari

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali ya gari la Nganga na Fuso huko Ruaha Mbuyuni taarifa zaidi zitawajia hivi punde

unnamed (64)

 Basi la abiria la Nganga likionekana kuteketea kwa moto baada ya kugongana na Fuso majira ya saa mbili asubuhi leo Aprili 12, huko eneo la Ruaha Mbuyuni (Picha kwa mujibu wa mitandao ya kijamii).

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Chumba cha habari cha Modewji blog  makao makuu kinaendelea kuwasiliana na vyanzo mbalimbali vya habari kutoka eneo la tukio  la ajali  mbaya  iliyotokea mapema asubuhi ya leo Aprili 12 katika eneo hilo baada ya basi la abiria la Nganga linalofanya safari za Iringaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Changamoto za utoaji wa huduma za dharura

Huduma ya kwanza huchangia pakubwa katika uokoaji wa maisha ya binadamu haswa wakati wa majanga.Tumezungumza na mhudumu mmoja

 

10 years ago

BBCSwahili

Huduma za dharura ni duni Tanzania

Mamlaka zinazohusika zimeeleza kutokuwa na vitendea kazi na wananchi kuwa na elimu duni kuhusu majanga

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam

 Serikali kupitia Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imetiliana saini ya makubaliano na Kampuni ya UDA Rapid Transit kuendesha huduma ya usafiri ya mradi huo katika kipindi cha mpito. Katika mkataba huo wa miaka miwili kampuni hiyo itatakiwa kununua mabasi 76 yenye urefu wa mita 12 na 18 ili kuanza kutoa huduma hiyo katika barabara za mradi jijini Dar es Salaam miezi minne kuanzia sasa. Wakati DART ikiwakilishwa na Mtendaji Mkuu wake, Bi. Asteria Mlambo, kampuni hiyo iliwakilishwa na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Huduma za dharura kwa wazazi Kibiti zaokoa maisha ya mama na mtoto

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea kuangalia mwenendo wa utoaji huduma za dharura katika kituo hicho.

Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa huduma za dharura kwa wajawazito katika Kituo cha Afya Kibiti.

Jengo ambalo ni chumba cha upasuaji linalotoa...

 

11 years ago

GPL

HUDUMA ZA DHARURA KWA WAZAZI KIBITI ZAOKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO‏

Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akimjulia hali mmoja wa akinamama aliyejifungua katika wodi ya wazazi katika Kituo cha Afya Kibiti leo. Mratibu wa Mtandao wa Utepe Mweupe Kitaifa (The White Ribbon Alliance), Rose Mlay akitambulishwa kwa baadhi ya wahudumu katika wodi ya wazazi kwenye Kituo cha Afya Kibiti leo alipotembelea… ...

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuanza kuboresha huduma Lubumbashi

WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel SittaMAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema itahakikisha huduma zinazotolewa katika ofisi yake ndogo mjini Lubumbashi, zinaimarishwa kwa manufaa ya Tanzania na nchi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC).

 

9 years ago

Habarileo

UDA-RT waeleza utayari kuanza huduma

WATOA huduma katika kipindi cha mpito cha mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, kampuni ya UDA-RT wameihakikishia serikali na wananchi kuwa matayarisho yanaendelea vizuri tayari kwa huduma hiyo kuanza Januari 10 mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani