TPA kuanza kuboresha huduma Lubumbashi
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema itahakikisha huduma zinazotolewa katika ofisi yake ndogo mjini Lubumbashi, zinaimarishwa kwa manufaa ya Tanzania na nchi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
DRC wahamasishwa kutumia ofisi za TPA Lubumbashi
11 years ago
Habarileo05 May
Tanzania yasifiwa kufungua ofisi ya TPA Lubumbashi
SERIKALI ya Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), imesifu hatua ya Tanzania kufungua ofisi ndogo ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari (TPA), kwamba ni ya kizalendo na inayothibitisha uhusiano mzuri uliopo baina ya nchi hizo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--7aelhzPnWs/U2ihZWq9LiI/AAAAAAAFf2g/PJ-f-YB2Md8/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Wafanyabiashara DRC wapata matumaini ofisi ya TPA Lubumbashi
9 years ago
MichuziNHIF kuanza mwaka mpya wa 2016 kwa kuboresha huduma zao
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unategemea kuboresha baadhi ya huduma zao ifikapo 2016 ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma hizo kwa wananchi.
Akiyasema hayo leo Jijini Dar es salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu Michael Mhando amezitaja baadhi ya huduma ambazo wana mpango wa kuziboresha kwa mwaka 2016 zikiwemo za kuongeza huduma ya matibabu ya moyo kwa kutumia bima ya NHIF,kutoa mikopo ya dawa,kurekebisha mfumo wa ulipaji wa baadhi ya huduma pia kubadili...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zbQlG6oCWOc/U2OVGe1hqZI/AAAAAAAFe5M/fq8dPKH45qk/s72-c/MWAHER.jpg)
Wafanyabiashara DRC wahamasishwa kutumia ofisi mpya za TPA Lubumbashi
![](http://3.bp.blogspot.com/-zbQlG6oCWOc/U2OVGe1hqZI/AAAAAAAFe5M/fq8dPKH45qk/s1600/MWAHER.jpg)
Serikali ya Tanzania imesema imedhamiria kuhakikisha wafanyabiashara toka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo wanaotumia bandari ya Dar es Salaam wanapata huduma nzuri kwa faida ya nchi zote mbili.
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe amesema wakati wa uzinduzi wa ofisi ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mjini Lubumbashi, DRC kuwa wizara yake na bandari ya Dar es Salaam watahakikisha kuwa huduma za bandari zinasogezwa karibu na...
9 years ago
Habarileo09 Sep
TPA yashauriwa kuendelea kuboresha mazingira
MAMLAKA ya Bandari (TPA) imeshauriwa kuboresha mazingira kuweza kupokea kuhifadhi mbolea, kuwezesha kumfikia mkulima kwa urahisi, ikiwa na ubora wake.
10 years ago
MichuziWATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s72-c/004.jpg)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s1600/004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kEpw8MMJLyw/U_SXRz0dGQI/AAAAAAAGA50/_wb7wyKVLgY/s1600/006.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOrAXqFClet9mVhpHYYb2IrbqSSLxy5n4FOHD1pqLpnKnYDOmfsKoB4QCjuTFTlCgXxalQtu7aQlR0Pdqn4ydBC/001.jpg?width=650)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA