Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPA yashauriwa kuendelea kuboresha mazingira

MAMLAKA ya Bandari (TPA) imeshauriwa kuboresha mazingira kuweza kupokea kuhifadhi mbolea, kuwezesha kumfikia mkulima kwa urahisi, ikiwa na ubora wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ULEGA AWAHAKIKISHIA WAFUGAJI WA SAMAKI KUENDELEA KUBORESHA ZAIDI MAZINGIRA BORA YA UFUGAJI

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza katika Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali,Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Mkoa wa Shinyanga.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog 
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amewahakikishia wafugaji wa samaki nchini kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira bora ya kuwawezesha wafugaji kufuga samaki.  Mhe. Ulega ameyasema hayo Februari 26,2020 kwenye Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali, Wafanyabiashara na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kuboresha hospitali

SERIKALI imeshauriwa kuboresha huduma za hospitali nchini ili kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano vinavyotokana na ukosefu wa vifaatiba. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yashauriwa kuboresha sera za sayansi

Tanzania imeshauriwa kuzifanyia marekebisho sera za sayansi na teknolojia pamoja na ile ya viwanda na biashara, ili kuhimiza ubunifu utakaochangia kuimarika kwa uzalishaji viwandani.

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuanza kuboresha huduma Lubumbashi

WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel SittaMAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema itahakikisha huduma zinazotolewa katika ofisi yake ndogo mjini Lubumbashi, zinaimarishwa kwa manufaa ya Tanzania na nchi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Posta kuendelea kuboresha huduma

SHIRIKA la Posta Tanzania limewaomba watumiaji na wananchi kwa ujumla waendelee kuwa na imani na huduma za posta. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho...

 

9 years ago

Michuzi

JKT KUENDELEA KUBORESHA CHANGAMOTO MBALIMBALI

Mkuu wa kambi ya JKT Burombola Luteni Kanali Mketo akizungumza katika sherehe ya kufunga mafunzo ya mujibu wa sheria kwa vijana waliomaliza kidato cha sita mafunzo yaliyofanyika kwenye kambi ya Burombola wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.

Baadhi ya vijana waliomaliza mafunzi ya JKT kwenye kambi ya Burombola wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma
picha na editha Karlo
   
           
   Na Editha Karlo,Kigoma
MKUU wa Jeshi la kujenga Taifa Meja Jenerali Raphael Muhuga alisema kuwa jeshi hilo...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA METHADONE NCHINI

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya Dkt. Leonard Subi akisema jambo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hawapo pichani) wakipotembelea kituo cha kutolea tiba ya madawa ya kulevya  -Itega, Jijini Dodoma.


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya Mhe. Oscar Mukasa kwenye picha ya pamoja na mraibu wa madawa ya kulevya anayepata tiba katika kituo cha tiba ya madawa ya kulevya cha Itega Jijini Dodoma,...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.




Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kuendelea kuboresha huduma kwa wazee nchini

Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid.KUANZISHWA kwa taaluma maalumu za wazee (Geatric Care) katika Chuo Kikuu cha Sayansi Shirikishi cha Muhimbili ni sehemu ya juhudi mbalimbali za serikali za kuboresha huduma kwa wazee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani