KAULI YA DC KUHUSU KONDOMU YAZUA TAFRANI
![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwRDIGWEl4gKdgVDDiMfhapgOIQDzeGPz5OM5wprYJ2nonnVtC8JxFGZNwDxjhDyWHjMQkvxNX5LQHOCToZbeOR/dc.jpg)
Na Dustan Shekidele, Morogoro MKUU wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka amezusha tafrani na kulalamikiwa na baadhi ya wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT), wilayani humo baada ya kutoa kauli kwamba wasikubali kutumika kama kondomu ama tambara la deki wakati wa chaguzi mbalimbali. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka. Wakizungumza na wandishi wa habari mjini hapa, wanachama hao ambao hawakupenda...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Kauli ya Obama kuhusu Ukristo yazua kizaazaa
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Luku yazua tafrani Mbeya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfUvPSttO0KNrtooiIT-bXQIdEMBeBLWOYW271BQdqP9AlkvK1YwRt04JiiafN3vOCd*YFOO3eAs5dXbMRJ7cC2CRPm6taw9/3.jpg?width=650)
FAMILIA YA MWINYI YAZUA TAFRANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2ZK7FUPTMt3vlo*1nrT7avAKzYyWZccXG4PGpa32*KajYbn3yPTz8H92gIa0idKYKA-pj6az52ED46lYXI3ALHf/w.jpg?width=650)
MAITI YA MCHUNGAJI YAZUA TAFRANI
11 years ago
Habarileo19 Dec
Ndege ya Ethiopia yazua tafrani Arusha
NDEGE ya Shirika la Ndege la Ethiopia, imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na ndege nyingine ya TFC kukwama kwenye njia ya kurukia.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
‘Ofa’ Shoprite yazua tafrani Mlimani City
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Kauli ya Rais Kikwete yazua sintofahamu kwa wananchi
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Wafanyakazi Wizara ya Habari waelezea namna wizara yao inavyoweza kufanikisha Mkakati wa Kitaifa kuhusu matumizi ya Kondomu
Afisa Tawala wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Mussa Varisanga akielezea jambo wakati wa kikao cha pamoja na washauri kuhusu masuala ya Kondomu wakati wakijadili Mkatati wa Taifa wa Matumizi ya Kondomu unaoratibiwa na TACAIDS leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge.
Mshauri wa Kimataifa kutoka Uganda Bw.Moses Muwonge akizungumza na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (hawapo pichani) wakati...
11 years ago
BBCSwahili12 May
Kauli ya Zitto Kabwe kuhusu katiba TZ