Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uvumi wa Noah wazua tafrani Dar

Gari aina ya Toyota Noah linalomilikiwa na Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kituo cha Polisi, Tabata Shule Dar es Salaam, limezua tafrani kwa wakazi wa eneo hilo baada ya kuwapo na uvumi kuwa kuna gari la aina hiyo linatumika kuteka watoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wazua tafrani Nkasi

WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...

 

10 years ago

Habarileo

Ugawaji vijiji wazua tafrani

SUALA ya kugawanywa kwa kata, mitaa na vijiji limezua tafrani kwa baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Dodoma huku wananchi wa Nzuguni wakitaka kurejeshwa kwa kijiji ambacho kimepelekwa kata nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wa CUF wazua tafrani Tanga

Madiwani wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiwa na wafuasi wa chama hicho, jana walivamia mara mbili ukumbi wa ofisi za Mipango Miji ya Jiji la Tanga na kukitawanya kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi kilichokuwa kikiongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji hilo, Omar Guled.

 

10 years ago

Mwananchi

Albino wazua tafrani Polisi Buguruni

Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), jana walizua tafrani Kituo cha Polisi Buguruni, wakipinga dhamana kwa mshtakiwa, Ombeni Swai (34), mkazi wa Tabata Matumbi anayekabiliwa na kesi ya kutoa vitisho vya kumuua mwenzao.

 

10 years ago

Mtanzania

Usiri mikataba ya gesi wazua tafrani kamati ya Zitto

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (PAC), imetoa siku mbili kwa uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 ya gesi kwa Katibu wa Bunge.

Uamuzi wa kamati hiyo umetokana na menejimenti ya TPDC kushindwa kuwasilisha mkataba hata mmoja kati ya mikataba 26 iliyoombwa na kamati hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja sasa.

Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa kupitia...

 

10 years ago

Vijimambo

NOAH INAYODAIWA KUTEKA WANAFUNZI JIJINI DAR YAZUA KIZAAZAA

Hofu kubwa imewakumba wakazi wa Wilaya za Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam kufuatia kuzagaa kwa uvumi wa kuwapo wahalifu wanaotumia gari aina ya Noah yenye rangi nyeusi na kupita shuleni na kuwateka watoto na kwenda kuwachuna ngozi. Uvumi huo ulianza kuzagaa Oktoba Mosi, mwaka huu, maeneo tofauti katika wilaya hizo, hususan katika shule za msingi.Walimu wakuu wa baadhi ya shule walithibitisha kusikia uvumi huo na hivyo, kuwapa tahadhari wanafunzi. Waandishi wa habari w walitembelea...

 

11 years ago

Mwananchi

Usafiri wa Reli ya Kati wazua kizaazaa Dar

Zaidi ya abiria 1,500 waliotarajia kusafiri na treni ya Reli ya Kati jana, walikwama jijini Dar es Salaam baada ya kufika na kutangaziwa kupitia vipaza sauti kuwa hakuna treni na kutakiwa kupanga foleni kwa ajili ya kurudishiwa nauli.

 

10 years ago

BBC

Who is Trevor Noah?

Profile of South Africa comedian who got top US TV job

 

10 years ago

Mtanzania

AG Zanzibar azua tafrani

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, jana alitibua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya kuikataa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Baada ya kupiga kura ya hapana, baadhi ya wajumbe walimzomea mwanasheria huyo wakionyesha kutoridhishwa na msimamo wake.

Kutokana na hali hiyo, baada ya Bunge kuahirishwa saa nne asubuhi, askari wa Bunge walilazimika kumtoa bungeni chini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani