MWANAMKE ASUTWA KWEUPE!
![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2bqCnrTCEOFPbvyZY-GpMccq-mr6qCiYsz71Z6DGO1vfvq0cTNbXs*LOMSu9UVqkUwCvLBtKEAcLaZGts352eIe/18.jpg?width=650)
Hamida Hassan MSUTO! Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Sina, mkazi wa Kawe jijini Dar amejikuta akisutwa mchana kweupe baada kumvujishia taarifa rafiki yake aitwaye Cheka Komba Mbegere kuwa wanawake wanaojiita Cash Money wanakwenda kumsuta, Risasi Mchanganyiko lilifuatilia hatua kwa hatua. Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Sina (mwenye nguo nyekundu mbele kushoto), mkazi wa Kawe jijini Dar akisutwa mchana kweupe na wanawake...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmyEN*hGdDGxZ8VImMZdOrdLWMAVYMadMsdJfoxuAkHWN*reTbft0LRXr6LPbwldTx8GTXz2q3PI8Yq6wZXvvlAG/Lulu.jpg?width=650)
BINTI MIAKA 14 ASUTWA KWA UTAPELI
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Wajumbe waumbuana kweupe
11 years ago
Habarileo20 May
Rasilimali za nchi zachotwa kweupe
WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ndanda yaituliza Yanga kweupe
9 years ago
Habarileo20 Sep
Maadili ya uchaguzi yakiukwa kweupe
MAADILI ya Uchaguzi yaliyosainiwa na vyama 22 vya siasa kuwa vitayatekeleza wakati wa kampeni na baada ya kampeni, yameanza kukanyagwa na baadhi ya vyama hivyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OnOI0fI8*FCh0pkyyZFRPagOfcumTqMh6879pyDepGwSAUO37oH6JQ-3qUNjbIhw0qGax59NqnUA62jVl1E3z9h/IMG20141223WA0011.jpg?width=650)
APIGWA RISASI MCHANA KWEUPE, AFARIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYWJIKT6Jcj821nEncLVmshdTpGnRF6697qNyGVvBjVWPwyYfPN1AWB3Flo4BhU2KXNG8sOlHe9Hckkqfe1RldB/MOND.jpg?width=650)
ZARI, DIAMOND MAHABA KWEUPE UGANDA
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Wezi waiba benki ya Barclays Dar kweupe
10 years ago
Vijimambo22 May
BILIONI 600 ZIMEPIGWA MCHANA KWEUPE TUNAISHIA KUJIUZULU
![](http://api.ning.com/files/jEI2iEfKUOh8cv7zWg3Q5sWHyFZF5y6vFlue6CFi2EOZPV77eK8HUlWNSxHNr9F4Uxx9C6VLtxy*NpIW-jRJHd8e1YzKBgA1/JakayaKikwete.jpg?width=650)
TUNAAMBIWA wakati tukipata uhuru mwaka 1961, nchi yetu ilikuwa na uchumi sawa na nchi kama Singapore, Malaysia na nyingine nyingi zilizokuwa dunia ya tatu. Leo tunapojifananisha na nchi hizo za Asia, tunaonekana vichekesho.
Lakini si nchi hizo mbili tu, bali kuna mataifa mengi yamefanya vizuri kiuchumi kuliko sisi, hata kwa zile za Afrika, bara ambalo historia inatuambia watawala wake wametawaliwa na tamaa, ubinafsi, chuki na wivu dhidi ya wanaowaongoza.
Ndiyo maana...