Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maadili ya uchaguzi yakiukwa kweupe

MAADILI ya Uchaguzi yaliyosainiwa na vyama 22 vya siasa kuwa vitayatekeleza wakati wa kampeni na baada ya kampeni, yameanza kukanyagwa na baadhi ya vyama hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PRESS CLUB ZNZ YAFANYA UCHAGUZI NA KUSISITIZWA MAADILI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Katibu Mkuu msaafu wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) Suzan Peter Kundambi katikati akitoa taarifa ya mwaka kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo katika mkutano wa Mwaka wa ZPC ulioambatana na uchaguzi. Mkutano huo uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja. Wajumbe walioshiriki uchaguzi wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) wakipiga kura kuchagua uongozi mpya katika mkutano wa Mwaka wa Jumuiya hiyo ambao uliambatana na uchaguzi huo ambao uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal...

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020



Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yakiukwa Ukraine.

Milipuko mikali imesikika katika mji wa Bandari wa Mariupol mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama Zanzibar vyagoma kusaini maadili ya uchaguzi

>Viongozi wa vyama vya siasa visiwani hapa wamekataa kusaini waraka wa maadili ya uchaguzi ya vyama vya siasa uliowasilishwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), vikitaka vyombo vya usalama vijumuishwe.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera vyama Z’bar kusaini maadili ya uchaguzi

Hatimaye vyama vya siasa visiwani Zanzibar vimekubali kusaini mkataba wa Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, baada ya mkutano wa awali kuvunjika kwa madai ya kukosekana wadau muhimu kwenye mkutano huo ambao ni Chama cha Mapinduzi (CCM) na Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Vyama vya Siasa 21 vimesaini Maadili ya uchaguzi mkuu Tanzania

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, akizungumza na wahariri vyombo vya habari Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Julius Mallaba. Picha na Joseph Zablon

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Julius Mallaba. (Picha na Maktaba).

Vyama vya Siasa 21 vinavyotarajiwa kushiriki katika uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu vimesaini Maadili ya uchaguzi yatakayotumika wakati wa kampeni, kupiga kura na wakati wa kutangaza matokeo.

Maadili hayo yanayohusisha Serikali, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Vyama vya Siasa yalisainiwa na Katibu Mkuu...

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA WAGOMBEA UWAKILISHI ZANZIBAR KUZUNGUMZIA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU

 Mkuu wa Utawala na Uendeshaji wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Ndg Saadun Ahmed, akitowa maelezo ya Mkutano na Wagombea Uwakilishi wa Majimbo ya Unguja kutowa maelezo ya Mkutono huo ulioandaliwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kutowa elimu ya maadili ya uchaguzi na kuwepo kwa amani katika kipindi cha uchaguzi Zanzibar. mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa salama bwawani Unguja.Waheshimiwa Wagombea Uwakilishi katika Majimbo ya Unguja wakiwa katika ukumbi wa Salama.Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi...

 

10 years ago

Vijimambo

Utiaji saini waraka wa maadili ya uchaguzi kwa vyama vya siasa

Naibu katibu Mkuu wa Chadema tawi la zanzibar Salum Mwalim akielezea maswala mbalimbali kuhusiana na hali ya Usalama kuelekea katika Uchaguzi mkuu katika hafla ya utiaji Saini waraka wa maadili ya Uchaguzi kwa vyama vya Siasa Grand Palace Zanzibar.Baadhi ya Wajumbe wa vyama vya Siasa waliohudhuria katika hafla ya utiaji Saini waraka wa maadili ya Uchaguzi kwa vyama vya Siasa Grand Palace Zanzibar. Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya ZEC Nassor Khamis Mohammed akifafanua baadhi ya mambo katika...

 

10 years ago

Michuzi

UTIAJI SAINI WARAKA WA MAADILI YA UCHAGUZI KWA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR

1Naibu katibu Mkuu wa Chadema tawi la zanzibar Salum Mwalim akielezea maswala mbalimbali kuhusiana na hali ya Usalama kuelekea katika Uchaguzi mkuu katika hafla ya utiaji Saini waraka wa maadili ya Uchaguzi kwa vyama vya Siasa Grand Palas Zanzibar 2Baadhi ya Wajumbe wa vyama vya Siasa waliohudhuria katika hafla ya utiaji Saini waraka wa maadili ya Uchaguzi kwa vyama vya Siasa Grand Palas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani