Utiaji saini waraka wa maadili ya uchaguzi kwa vyama vya siasa
Naibu katibu Mkuu wa Chadema tawi la zanzibar Salum Mwalim akielezea maswala mbalimbali kuhusiana na hali ya Usalama kuelekea katika Uchaguzi mkuu katika hafla ya utiaji Saini waraka wa maadili ya Uchaguzi kwa vyama vya Siasa Grand Palace Zanzibar.
Baadhi ya Wajumbe wa vyama vya Siasa waliohudhuria katika hafla ya utiaji Saini waraka wa maadili ya Uchaguzi kwa vyama vya Siasa Grand Palace Zanzibar.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya ZEC Nassor Khamis Mohammed akifafanua baadhi ya mambo katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Jul
UTIAJI SAINI WARAKA WA MAADILI YA UCHAGUZI KWA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/156.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/252.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJADILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s400/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uN3EeOyrRU0/Xs9ZVB-XBLI/AAAAAAAC6M0/_RBCpugBK3swDVlocFRuhsAdqX8AYaAdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJALILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-uN3EeOyrRU0/Xs9ZVB-XBLI/AAAAAAAC6M0/_RBCpugBK3swDVlocFRuhsAdqX8AYaAdwCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Hayo yamesemwa jana Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Mhe.Jaji Semistocles Kaijage katika kikao na vyama vya Siasa na Wadau wengine wa Uchaguzi kujadili na kupitisha Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020.
Akizungumza katika kikao hicho Jaji...
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Vyama vya Siasa 21 vimesaini Maadili ya uchaguzi mkuu Tanzania
![Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, akizungumza na wahariri vyombo vya habari Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Julius Mallaba. Picha na Joseph Zablon](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/01-E-Vote-Clip.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Julius Mallaba. (Picha na Maktaba).
Vyama vya Siasa 21 vinavyotarajiwa kushiriki katika uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu vimesaini Maadili ya uchaguzi yatakayotumika wakati wa kampeni, kupiga kura na wakati wa kutangaza matokeo.
Maadili hayo yanayohusisha Serikali, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Vyama vya Siasa yalisainiwa na Katibu Mkuu...
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
NEC yakemea vikali ukiukwaji wa maadili unaofanywa na vyama vya siasa wakati wa kampeni za uchaguzi
Maadili ya Uchaguzi awa Ajili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na Mwaka 2015
(chini ya Kifungu cha 124A cha Sheria ya Uchaguzi Na. 1 ya mwaka 1985 (sura ya 343)
Sisi Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa pamoja tumekubaliana kuwa na uchaguzi huru, wa haki, uwazi, na wa kuaminika. Na kwamba Amani, Ustawi wa Nchi, Usalama wa Raia, Uhuru wa Vyama vya Siasa na Utii wa Sheria, Kanuni na taratibu za uchaguzi ndio msingi wa...
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Habarileo14 Jul
NEC, vyama vya siasa waweka maadili
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefikia mwafaka na vyama vya siasa kuweka maadili ambayo yataviongoza vyama hivyo wakati wa kampeni hadi siku ya kupiga kura.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fZiIVqaaveA/VWLZqhG4tRI/AAAAAAABPWI/4N5AFcNtmnY/s72-c/tume%2Bya%2Btaifa%2Bya%2Buchaguzi.jpg)