BILIONI 600 ZIMEPIGWA, AFU KIMYA!
![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOh8cv7zWg3Q5sWHyFZF5y6vFlue6CFi2EOZPV77eK8HUlWNSxHNr9F4Uxx9C6VLtxy*NpIW-jRJHd8e1YzKBgA1/JakayaKikwete.jpg?width=650)
Rais jakaya kikwete. TUNAAMBIWA wakati tukipata uhuru mwaka 1961, nchi yetu ilikuwa na uchumi sawa na nchi kama Singapore, Malaysia na nyingine nyingi zilizokuwa dunia ya tatu. Leo tunapojifananisha na nchi hizo za Asia, tunaonekana vichekesho. Lakini si nchi hizo mbili tu, bali kuna mataifa mengi yamefanya vizuri kiuchumi kuliko sisi, hata kwa zile za Afrika, bara ambalo historia inatuambia watawala wake wametawaliwa na tamaa,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 May
BILIONI 600 ZIMEPIGWA MCHANA KWEUPE TUNAISHIA KUJIUZULU
![](http://api.ning.com/files/jEI2iEfKUOh8cv7zWg3Q5sWHyFZF5y6vFlue6CFi2EOZPV77eK8HUlWNSxHNr9F4Uxx9C6VLtxy*NpIW-jRJHd8e1YzKBgA1/JakayaKikwete.jpg?width=650)
TUNAAMBIWA wakati tukipata uhuru mwaka 1961, nchi yetu ilikuwa na uchumi sawa na nchi kama Singapore, Malaysia na nyingine nyingi zilizokuwa dunia ya tatu. Leo tunapojifananisha na nchi hizo za Asia, tunaonekana vichekesho.
Lakini si nchi hizo mbili tu, bali kuna mataifa mengi yamefanya vizuri kiuchumi kuliko sisi, hata kwa zile za Afrika, bara ambalo historia inatuambia watawala wake wametawaliwa na tamaa, ubinafsi, chuki na wivu dhidi ya wanaowaongoza.
Ndiyo maana...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
NHC yaongeza miradi ya bilioni 600/=
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, amesema shirika hilo limefanikiwa kuongeza miradi yake na kufikia Sh bilioni 600 kwa miaka mitano.
Mafanikio hayo aliyasema jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wahariri, aliwaambia kwamba mafanikio hayo ni mwanzo na wanatarajia kupata zaidi katika miaka miwili ijayo.
“Mwaka 2010 shirika hili lilikuwa na miradi ya Sh bilioni 4 lakini hivi sasa tumefanikiwa kufikisha bilioni...
9 years ago
Bongo528 Sep
Usher afunga ndoa kimya kimya na meneja wake Grace Miguel
10 years ago
Vijimambo20 Feb
HII NDIYO YANGA NA MBIO ZA KUUSAKA UBIGWA KIMYA KIMYA TU UNAISOMA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-2ske2H6ibPs%2FVOZJSSyXGaI%2FAAAAAAADZ5A%2FMwgawl1uLNs%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-nuzUTtxZEhY%2FVOZJSfqWZaI%2FAAAAAAADZ5E%2F3S76cANil-0%2Fs1600%2F6.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya
Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.
Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.
Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Kerr aibuka Tanga, aisoma African Sports kimya kimya
OSCAR ASSENGA, TANGA NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, juzi ametumia muda wa dakika 90 kukisoma kikosi cha timu ya African Sports “Wanakimanumanu”, wakati ikicheza mchezo wa kirafiki na Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
Kocha huyo alitua Tanga kimya kimya ili kuweza kukijua vizuri kikosi cha ‘Wana kimanumanu’, kabla hawajakutana kwenye ufunguzi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Septemba 12, mwaka huu.
Mchezo huo wa kirafiki ulimalizika kwa Coastal Union...
9 years ago
Bongo520 Oct
New Music: Kanye West aachia nyimbo 2 mpya kimya kimya – When I See I & Say You Will
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Avril afunga ndoa kimya kimya
NAIROBI, KENYA
MKALI wa muziki nchini Kenya, Judith Nyambura ‘Avril’, amewashangaza watu kupitia akaunti yake ya Instagram
baada ya ‘kuposti’ picha ambayo inamuonesha kuwa amefunga ndoa.
Tangu Januari mwaka huu, msanii huyo alitangaza kufunga ndoa na mpenzi wake kutoka nchini Afrika Kusini ifikapo Juni, mwaka huu, lakini mipango ikagonga mwamba, akatangaza ifikapo Novemba mwaka huu kila kitu kitakuwa sawa, hata hivyo mipango ikawa sio.
Lakini juzi kupitia mtandao huo wa Instagram, aliweka...