Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DKT NCHIMBI AWATWISHA MZIGO TBS NA SIDO










Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi


Na John Mapepele

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amelielekeza Shirika la Viwango nchini (TBS) na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) kuanzisha mara moja operesheni maalum ya kuwatafuta wamiliki wa viwanda na wazalishaji wakubwa wa mafuta ya alizeti katika Mkoa wa Singida.

Lengo kubwa ni kukagua viwango vya mafuta hayo na kuwaelimisha ili kuhakikisha ubora wa mafuta hayo yaweze kuingia kwenye masoko ya kimataifa hatimaye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba

Simba ilianza kutetea taji la ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Jamhuri ya Pemba juzi, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amewataja washambuliaji kuwa ndiyo chanzo cha matokeo ya sare.

 

9 years ago

Mwananchi

January awatwisha mzigo watendaji , aonya ole wao!

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba amewatwisha mzigo watumishi wa wizara hiyo anaotaka waufanyie kazi haraka, ikiwamo kuangalia uanzishwaji wa mpango wa kusafisha mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi na bomoa bomoa ya nyumba kando ya mito ya Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

DKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea, Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, yaliyofanyika kitaifa juzi kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea, Mkoani Ruvuma. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sido yaja na mpango wa kukopesha

UNAPOTAKA kufanya biashara yoyote lazima uwe na mtaji. Kwa bahati mbaya wajasiriamali wengi wanaposema mtaji wana maana fedha za kununulia bidhaa watakazouza au huduma watakayotoa kwa malipo ambayo kwa kweli...

 

9 years ago

TheCitizen

Sido targets entrepreneurs in funding

The Small Industries Development Organisation (Sido) will launch a new centre for packaging, an entrepreneurship development fund, technology leasing services and an SME portal in 2016.

 

10 years ago

Mwananchi

Sido, Finland kuinua wazalishaji

Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido), limesema kuwa mpango maalumu wa kuwawezesha wazalishaji wa embe, asali na viungo nchini utasaidia kuwainua watanzania na kuingia katika soko la kimataifa, hivyo kuleta manufaa kwa taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido

Wajasiriamali waliopanga kwenye majengo ya Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (Sido) jijini Dar es Salaam, wamelalamikia kupanda kwa zaidi ya mara tatu kwa kodi ya pango.

 

10 years ago

TheCitizen

Support small industries, Sido told

>The Small Industries Development Organisation (Sido) should address issues that still hinder its efforts to support small-scale industries. “Sido has a major role to play to ensure that the country’s vision 2025 is achieved,” said Industry and Trade minister Abdallah Kigoda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani