DKT NCHIMBI AWATWISHA MZIGO TBS NA SIDO
![](https://1.bp.blogspot.com/--R642qviMew/XlXsgHSq6-I/AAAAAAAAf2Q/gt_LhHbDLGUj0KwJcwOIsX_4YyDwOvEVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200226-WA0004.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi
Na John Mapepele
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amelielekeza Shirika la Viwango nchini (TBS) na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) kuanzisha mara moja operesheni maalum ya kuwatafuta wamiliki wa viwanda na wazalishaji wakubwa wa mafuta ya alizeti katika Mkoa wa Singida.
Lengo kubwa ni kukagua viwango vya mafuta hayo na kuwaelimisha ili kuhakikisha ubora wa mafuta hayo yaweze kuingia kwenye masoko ya kimataifa hatimaye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba
9 years ago
Mwananchi17 Dec
January awatwisha mzigo watendaji , aonya ole wao!
10 years ago
GPLDKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Sido yaja na mpango wa kukopesha
UNAPOTAKA kufanya biashara yoyote lazima uwe na mtaji. Kwa bahati mbaya wajasiriamali wengi wanaposema mtaji wana maana fedha za kununulia bidhaa watakazouza au huduma watakayotoa kwa malipo ambayo kwa kweli...
9 years ago
TheCitizen24 Dec
Sido targets entrepreneurs in funding
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Sido, Finland kuinua wazalishaji
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido
10 years ago
TheCitizen23 Dec
Support small industries, Sido told