Sido targets entrepreneurs in funding
The Small Industries Development Organisation (Sido) will launch a new centre for packaging, an entrepreneurship development fund, technology leasing services and an SME portal in 2016.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Sido, Finland kuinua wazalishaji
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Sido yaja na mpango wa kukopesha
UNAPOTAKA kufanya biashara yoyote lazima uwe na mtaji. Kwa bahati mbaya wajasiriamali wengi wanaposema mtaji wana maana fedha za kununulia bidhaa watakazouza au huduma watakayotoa kwa malipo ambayo kwa kweli...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Mkakati wa Sido wa ODOP kuongeza ajira
SIKU hizi kumezuka tabia ya vijana kujikusanya vikundi na kukaa bure wakipiga porojo kutwa nzima bila kufanya shughuli yoyote ya kuzalisha mali kwa kukosa ajira. Hali hii imezidi kuwachochea vijana...
10 years ago
TheCitizen23 Dec
Support small industries, Sido told
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Wajasirimali washauriwa kushiriki maonyesho yanayoandaliwa na SIDO
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya usindikaji nyanya,biashara na masoko yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 36 kutoka Manispaa na Wilaya ya Singida.Kulia ni meneja wa SIDO mkoa wa Singida, Shoma Kibende.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAJASIRIAMALI Wilayani Singida wamehimizwa kujenga utamaduni wa kushiriki maonesho ya kanda ya kati yanayosimamiwa na SIDO ili pamoja na mambo mengine kutangaza bidhaa zao ziweze kupata soko la uhakika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--R642qviMew/XlXsgHSq6-I/AAAAAAAAf2Q/gt_LhHbDLGUj0KwJcwOIsX_4YyDwOvEVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200226-WA0004.jpg)
DKT NCHIMBI AWATWISHA MZIGO TBS NA SIDO
![](https://1.bp.blogspot.com/--R642qviMew/XlXsgHSq6-I/AAAAAAAAf2Q/gt_LhHbDLGUj0KwJcwOIsX_4YyDwOvEVQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200226-WA0004.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi
Na John Mapepele
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amelielekeza Shirika la Viwango nchini (TBS) na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) kuanzisha mara moja operesheni maalum ya kuwatafuta wamiliki wa viwanda na wazalishaji wakubwa wa mafuta ya alizeti katika Mkoa wa Singida.
Lengo kubwa ni kukagua viwango vya mafuta hayo na kuwaelimisha ili kuhakikisha ubora wa mafuta hayo yaweze kuingia kwenye masoko ya kimataifa hatimaye...
10 years ago
StarTV17 Jan
Wafanyabiashara soko la SIDO walalamika ubovu wa barabara.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Wafanyabiasha na wachukuzi wa mizigo katika Soko la Mchele la Sido jijini Mbeya wamelilalamikia Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo nchini SIDO na Halmashauri ya jiji hilo kwa kushindwa kuwaboreshea barabara za ndani ya soko hilo.
Wamesema kwa miaka mingi kinapofika kipindi cha mvua, biashara zao zinakuwa mashakani kwa kuwa wateja wao wakiwemo wenye magari makubwa wanashindwa kuingia sokoni hapo kutokana na kuwepo kwa matope mengi.
Katika eneo hili wananchi hununua...
11 years ago
MichuziSido yatoa mikopo kwa wajasiliamali wa mkoa wa Lindi
jinsi shirika lake linavyowezesha wajasilamali wa mkoa huo kwa kuwapa
mikopo na elimu ya wajasiliamali katika hafla Fupi ya kukabidhi hundi
za mikopo kwa wajasiliamali 21,kutoka kushoto ni Bw Dickson
Kindole,Mhandisi Sido,Bi Salma Ally,Afisa mikopo na Mkuu wa Wilaya ya
Lindi Dr Nassor Hamid
wakimsikiliza Mkuu wa wilaya( hayupo pichani)Katika Hafla hiyo
iliyofanyika jana mjini Lindi