Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara soko la SIDO walalamika ubovu wa barabara.

Na Amina Saidi,

Mbeya.

Wafanyabiasha na wachukuzi wa mizigo katika Soko la Mchele la Sido jijini Mbeya wamelilalamikia Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo nchini SIDO na Halmashauri ya jiji hilo kwa kushindwa kuwaboreshea barabara za ndani ya soko hilo.

 

Wamesema kwa miaka mingi kinapofika kipindi cha mvua, biashara zao zinakuwa mashakani kwa kuwa wateja wao wakiwemo wenye magari makubwa wanashindwa kuingia sokoni hapo kutokana na kuwepo kwa matope mengi.

 

Katika eneo hili wananchi hununua...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

5 years ago

CCM Blog

UBOVU WA BARABARA WAKATISHA ZIARA YA NAIBU WAZIRI

Na James Timber, Mwanza.

Ubovu wa barabara uliopo Kata ya Bugogwa Halmashauri ya Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, umesababisha msafara wa Naibu Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi, Eliasi Kwandikwa kutoendelea na ziara kama ilivyopangwa.

Hali hiyo iliyozua sintofahamu katika ziara hiyo ilitokana na baadhi ya magari yaliyo kwenye msafara huo kukwama kwenye tope na mabonde na hivyo kuifanya ziara hiyo iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyeji ambaye ni Mbunge wa jimbola Ilemela, Angeline Mabula...

 

5 years ago

Michuzi

UKUNI YAUNDA KAMATI KUSIMAMIA CHANGAMOTO YA UBOVU WA BARABARA

NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO 
WAKAZI wa Kitongoji cha Ukuni Kata ya Dunda ,wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, wameunda Kamati Maalumu itayosimamia ukarabati wa miundombinu ya Barabara ambayo imekuwa kero kwa wananchi . 
Wakiwa katika kikao cha uundwaji wa Kamati hiyo, wajumbe wamejadiliana kwa kina kuhusiana na mchakato huo, unaolenga kuondokana na hali tete ya ubovu wa miundombinu hiyo iliyopo kwenye Kitongoji hicho, ambapo Kamati hiyo inatarajia kuanza kazi mara moja. 
Mwenyekiti wa Kitongoji...

 

10 years ago

Vijimambo

DC KINONDONI AUNDA TUME HURU KUCHUNGUZA UBOVU WA BARABARA

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu tume aliyoiunda kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameunda tume ya wajumbe saba wakiwamo wawili kutoka serikalini kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.

Akizungumza na waandishi wa...

 

5 years ago

Michuzi

madiwani Tandahimba wailalamikia tarura kuhusu ubovu wa Barabara vijijini.

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Tandahimba wameridhia baadhi ya fedha za miradi ya maendeleo kutumika katika shughuli za kupambana na ugonjwa wa Corona (Covid - 19)

Hatua hiyo wamefikia katika kikao Cha Baraza ambalo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba

Aidha madiwani wamesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Wilaya dhidi ya kuhakikisha wananchi wao pia watachangia fedha ambazo zitasaidia kununulia vifaa mbalimbali  vya kujikinga na uginjea wa Corona

Mbali na Hilo...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimsikiliza kwa makini mfanyabiashara wa Kuku katika soko la Mburahati, Mkude Higilo (kulia) wakati alipofanya ziara sokoni hapo kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa soko hilo mwishoni mwa wiki, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge. Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na mmoja wa wafanyabiashar wa soko la Mburahati wakati wa ziara yake sokoni hapo ambapo alikutana na...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AVALIA NJUGA TATIZO LA UBOVU BARABARA WILAYANI KWAKE

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ndugu Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar Es Salaam.

BOFYA HAPA KUSOMA TAARIFA YAKE

 

10 years ago

Michuzi

UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.

Baadhi ya watalii wa ndani wakiwa eneo la kambi ya Tembo wakisubiri magari madogo ya hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro (KINAPA) kwa ajili ya kuwachukua kuwapeleka katika hifadhi hiyo. Magari yaliyokuwa yakitumiwa na watalii wa ndani waliokuwa wakipanda kwenda kilele cha Shira yakiwa yameegeshwa baada ya kushindwa kuendelea na safari kutokana na ubovu wa barabara.
Watalii wa ndani walilazimika kupanda magari ya aina hii ili kufika katika kilele cha Shira.
Safari ya kuelekea kilele cha Shira...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na soko

Wafanyabiashara wanaotumia Soko la Chogo wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga wamelalamikia uongozi wa eneo hilo kuacha kuboresha vyoo na miundombinu mingine muhimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani