DC KINONDONI AUNDA TUME HURU KUCHUNGUZA UBOVU WA BARABARA
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu tume aliyoiunda kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameunda tume ya wajumbe saba wakiwamo wawili kutoka serikalini kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.
Akizungumza na waandishi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
DC aunda Tume kuchunguza mauaji ya simba
MKUU wa wilaya ya Babati Khalid Mandia ameunda tume ya watu watatu wakisaidiwa na maofisa Wanyama Pori wa wilaya hiyo kuchunguza mauaji ya simba sita yaliyotokea katika kijiji cha Olasiti, kata ya Nkaiti Januari mosi mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bendera aunda tume kuchunguza migodi iliyoungua
11 years ago
Mwananchi03 May
JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mz6gGlhieKM/XlGNkLt1FxI/AAAAAAALe3k/78muR5Ej14gidNfwFXU44UYeJtWvFx-8gCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv68220e4836d1lsfe_800C450.jpg)
Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia
![](https://1.bp.blogspot.com/-mz6gGlhieKM/XlGNkLt1FxI/AAAAAAALe3k/78muR5Ej14gidNfwFXU44UYeJtWvFx-8gCLcBGAsYHQ/s640/4bv68220e4836d1lsfe_800C450.jpg)
Akizungumza kwa njia ya televisheni, Abdalla Hamdok amesema kuwa: Nimechukua uamuzi wa kuunda kamati ya uchunguzi kufuatia matukio ya siku mbili zilizopita.
Waziri Mkuu Hamdok amesema kuwa, Mwanasheria Mkuu Taj-Elsir Ali ataongoza kamati hiyo ya uchunguzi ambayo inapaswa kutoa ripoti yake katika kipindi cha siku saba zijazo....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W9O2NviWmrk/VW4XD0NI_ZI/AAAAAAAHbhQ/sJotW4VT25s/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WANANCHI KUNYANYASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W9O2NviWmrk/VW4XD0NI_ZI/AAAAAAAHbhQ/sJotW4VT25s/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cGTWte_2TIw/VW4XUBRgKGI/AAAAAAAHbhY/r4EVWlhSQho/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dJ1WU6P-Q5g/VSwKPLiOFKI/AAAAAAAAZ3s/cjoKHdiKyyI/s72-c/IMG-20150413-WA080.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AVALIA NJUGA TATIZO LA UBOVU BARABARA WILAYANI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-dJ1WU6P-Q5g/VSwKPLiOFKI/AAAAAAAAZ3s/cjoKHdiKyyI/s1600/IMG-20150413-WA080.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA TAARIFA YAKE
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-o7pNML0L1F8/VncxHso05NI/AAAAAAAAXgU/H6pfUP8HFV8/s72-c/blogger-image--1935010144.jpg)
OMBI LA WABUNGE NA MADIWANI WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONI KUIOMBA IKULU (OFISI YA RAIS) IUNDE TUME HURU
9 years ago
Mtanzania04 Jan
DC aunda kamati kuchunguza mgomo
Na Safina Sarwatt, Moshi
MKUU wa Wilaya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameunda kamati tatu ya kuchunguza mgomo baridi wa madakatari na manesi unaendelea katika Hospitali ya Kibosho, wakipinga lugha chafu, ubabe unaofanywa na uongozi wa hospitali hiyo na kucheleweshewa mishahara.
Hatua hiyo ya mkuu huyo kuunda tume imekuja mara baada ya kufanya kikao na watumishi, kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wagonjwa kuhusu huduma mbovu.
Akitoa agizo la kuundwa kwa kamati tatu za...
10 years ago
StarTV17 Jan
Wafanyabiashara soko la SIDO walalamika ubovu wa barabara.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Wafanyabiasha na wachukuzi wa mizigo katika Soko la Mchele la Sido jijini Mbeya wamelilalamikia Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo nchini SIDO na Halmashauri ya jiji hilo kwa kushindwa kuwaboreshea barabara za ndani ya soko hilo.
Wamesema kwa miaka mingi kinapofika kipindi cha mvua, biashara zao zinakuwa mashakani kwa kuwa wateja wao wakiwemo wenye magari makubwa wanashindwa kuingia sokoni hapo kutokana na kuwepo kwa matope mengi.
Katika eneo hili wananchi hununua...