Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC KINONDONI AUNDA TUME HURU KUCHUNGUZA UBOVU WA BARABARA

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu tume aliyoiunda kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo. Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameunda tume ya wajumbe saba wakiwamo wawili kutoka serikalini kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.

Akizungumza na waandishi wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

DC aunda Tume kuchunguza mauaji ya simba

MKUU wa wilaya ya Babati Khalid Mandia ameunda tume ya watu watatu wakisaidiwa na maofisa Wanyama Pori wa wilaya hiyo kuchunguza mauaji ya simba sita yaliyotokea katika kijiji cha Olasiti, kata ya Nkaiti Januari mosi mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Bendera aunda tume kuchunguza migodi iliyoungua

>Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera ameunda tume maalumu ya kuchunguza chanzo cha moto uliotokea hivi karibuni katika migodi 16 ya madini ya Tanzanite ya Kitalu B (Opec) mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.

 

11 years ago

Mwananchi

JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili

>Rais Jakaya Kikwete ameunda Tume ya Uchunguzi, kuhusu vitendo vilivyotokana na Uendeshaji wa Operesheni Tokomeza.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia

Waziri Mkuu wa Sudan ametangaza kuwa ameunda tume ya kuchunguza vitendo vya ukandamizaji vilivyofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo Alkhamisi na Ijumaa ya jana.

Akizungumza kwa njia ya televisheni, Abdalla Hamdok amesema kuwa: Nimechukua uamuzi wa kuunda kamati ya uchunguzi kufuatia matukio ya siku mbili zilizopita.

Waziri Mkuu Hamdok amesema kuwa, Mwanasheria Mkuu Taj-Elsir Ali ataongoza kamati hiyo ya uchunguzi ambayo inapaswa kutoa ripoti yake katika kipindi cha siku saba zijazo....

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WANANCHI KUNYANYASWA

 Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na wananchi wa Kata ya Buger wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha leo katika ziara ya siku moja kuzungumza na wananchi baada ya mwananchi mmoja kuuawa kwenye msitu wa Marang unaohifadhiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa(Tanapa).Waziri Nyalandu ameunda Tume ya kuchunguza mgogoro huo ambayo itatoa mapendekezo serikalini kwa utekelezaji. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na mmoja  wa wananchi wa Kata ya Buger...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AVALIA NJUGA TATIZO LA UBOVU BARABARA WILAYANI KWAKE

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ndugu Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar Es Salaam.

BOFYA HAPA KUSOMA TAARIFA YAKE

 

9 years ago

CHADEMA Blog

OMBI LA WABUNGE NA MADIWANI WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONI KUIOMBA IKULU (OFISI YA RAIS) IUNDE TUME HURU

LEO MADIWANI NA WABUNGE WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONItumeiomba Ikulu (OFISI YA RAIS) iteue TUME HURU YA UCHUNGUZI "a free and independent inquirery Commission" dhidi ya tuhuma za mkurugenzi aliyesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma zake 3:- (i) Uduni wa ubora wa barabara zilizo jengwa manispaa yabkinondoni na kushindwa kuwaadhibu wahandisi wahusika (ii) Kushindwa kusimamia

 

9 years ago

Mtanzania

DC aunda kamati kuchunguza mgomo

novatusNa Safina Sarwatt, Moshi

MKUU wa Wilaya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameunda kamati tatu ya kuchunguza mgomo  baridi  wa madakatari na manesi  unaendelea katika  Hospitali ya Kibosho, wakipinga lugha chafu, ubabe unaofanywa na uongozi wa hospitali hiyo na  kucheleweshewa mishahara.

Hatua hiyo ya mkuu huyo kuunda tume imekuja mara baada ya kufanya kikao na watumishi, kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wagonjwa kuhusu huduma mbovu.

Akitoa agizo la kuundwa kwa kamati tatu za...

 

10 years ago

StarTV

Wafanyabiashara soko la SIDO walalamika ubovu wa barabara.

Na Amina Saidi,

Mbeya.

Wafanyabiasha na wachukuzi wa mizigo katika Soko la Mchele la Sido jijini Mbeya wamelilalamikia Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo nchini SIDO na Halmashauri ya jiji hilo kwa kushindwa kuwaboreshea barabara za ndani ya soko hilo.

 

Wamesema kwa miaka mingi kinapofika kipindi cha mvua, biashara zao zinakuwa mashakani kwa kuwa wateja wao wakiwemo wenye magari makubwa wanashindwa kuingia sokoni hapo kutokana na kuwepo kwa matope mengi.

 

Katika eneo hili wananchi hununua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani